kabulimvos
Member
- Feb 28, 2021
- 20
- 41
- Thread starter
-
- #41
Bla bla eti eeh? Haya bwanaBinafsi namie ni 2008 hata wa 2007 watakutana na ngoma ya Ile 2006 walichanganyiwa instructions ya paper two Mana kawaida ni five questions out of ten Ila wakaambiwa wapige yote. Mwamba mmoja alimaliza Tisa mwingine Saba.
Binafsi ya pHysics na ya pure so hakuna Cha ajabu Sana na Kuna miamba ilipiga 1.3 Tena nyingi.so Don't brag blah blah apa
Oyaa 1921 really?Wewe, unajua mtihani wa Phy wa 1921,ilikua balaa tupu. Wa kwanza kitaifa alipata 16.
[emoji23][emoji23]ACSEE 2007 vipanga wengi waliondoka na IV na wengine wali-prove earth is a sphere [emoji1639]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli tupu,nilifanya huu mtihani,PCM,matokeo yalikuwa mabaya sana,wenzangu wengi walizungusha. Niliishia kupata D,D,D tu
Wee lini?Nyie mliofanya ACSEE 2008 shikamooni
2016 hata CSEE, ilikua simple lakini matokeo yakaja mabayaaa.Iv nn kilitokea ACSEE 2016? mtihan na matokeo havikufanana kabisa mtihani ulikuwa rahis matokeo yakawa mabovu kwel
ata mim nlikua mtahiniwa wa mwaka 2008 kwa comby ya ECA yan huo mwaka ndio nliamin kuna homa ya mtihan mana kuna jamaa yetu alilowa nguo nzima wkt tunafanya pepa ya Acc pepa 1Mimi nataka kujua ni kwa nini matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2008 yamefichwa hayaonekani ila miaka mingine kama 2007 na 2009 yanaonekana.
Kwakweli mitihank ya ACSEE 2008 Kwa kweli Kwa upande wangu paper ile ya Physics 3 practical ya mafuta haikuwa rahisi kwangu ni mtihani ambao kwakweli katika mitihani yote niliyowai kufanya huo ulikuwa bonge la paper nilihsi kama mapigo ya Moyo yanaongezeka Physics haikuwa rahisi Ila ashukuruwe chemistry na Maths hazikuniangusha kivileata mim nlikua mtahiniwa wa mwaka 2008 kwa comby ya ECA yan huo mwaka ndio nliamin kuna homa ya mtihan mana kuna jamaa yetu alilowa nguo nzima wkt tunafanya pepa ya Acc pepa 1
Noma sana.. Acsee 2013 imeniharibiaga ramani2013 pia matokeo yalikuwa mabaya mno pia..huu ulikuwa mwaka mbaya mno..matokeo yametoka tupo jeshini, watu ilikuwa ni kilio tuu.
biology mliamua kutumia kemikali to fauti,si ndiyo2013 pia matokeo yalikuwa mabaya mno pia..huu ulikuwa mwaka mbaya mno..matokeo yametoka tupo jeshini, watu ilikuwa ni kilio tuu.
Mkuu binadamu ndo tulivyo kila mtu anajiona yeye ndo mtamboMbonaa haukuwa na ugumu wowote sema ni Ile Hali ya mtu yeye kujiona Kama wakati wake kuwa ni mgumu Sana Ila kwa wengine ni mayai yai.
Yaani mtu utakuta hata ni mjeda anayasifia mafunzo yake anadai sio Kama nyie mnaofanya.
Kinachosumbua hapa ni ego Ile kujiona kuwa wewe ni mwamba wengine ni udongo ama ni yai.
Yaani mtu akipitia njia zake za maisha anajiona Kama yeye pekee ndiye akapitia magumu kuliko wengine so anahitaji salute.
Kuna uzi humu unaongelea kuwa ni magumu gani umeshawahi pitia ambayo hutosahau.
Binafsi nishawahi kaa ndani siku mbili bila ya kula nikakutana na mwamba anadai alimaliza siku tatu so hata sikuandika kitu kuwa Kuna gumu nimeshapitia
Kweli. ACSEE 2007 ufaulu (div I-IV) ilikuwa 67%, ACSEE 2008 ilikuwa 86%. Ushahidi ninao, nimemaliza 2007Watu walifeli sana ACSEE 2007,kuliko ACSEE 2008
Mwaka 2007 Kuna jamaa tulimaliza nao PCB. div II ya 11 na 12 walichaguliwa MUHAS Doctor of Medicine (MD)Yani unamaanisha phy na pure ya 2008 ilikua ngumu? Ulifanikiwa kuona phy ya 2007 kweli? Kama uliona mwaka 2008 ilikua ngumu kuna uwezekano ungemaliza 2007 ungezungusha kabisa.
Sasa hivi cut off point muhas md 1.5Mwaka 2007 Kuna jamaa tulimaliza nao PCB. div II ya 11 na 12 walichaguliwa MUHAS Doctor of Medicine (MD)
Tupe ushaidi tujionee mkuuKweli. ACSEE 2007 ufaulu (div I-IV) ilikuwa 67%, ACSEE 2008 ilikuwa 86%. Ushahidi ninao, nimemaliza 2007
Duuh hii kali aseeMwaka 2007 Kuna jamaa tulimaliza nao PCB. div II ya 11 na 12 walichaguliwa MUHAS Doctor of Medicine (MD)
Ni 1.4 kwa boys
Kwa sasa wanahesabu namna gani cut off points. Awali e.g 2006, 2007, 2008 ilikuwa wanahesabu kwa uzito wa A=5, B =4, C= 3 na kuendelea kwa mtiririko wa madaraja. Kwa maana cut off points za juu unakuta ni 15, 14, 13, 12 na 11 kulingana na matakwa ya course husika. Je, hii 1.4 au 1.5 ya sasa calculation ipoje?Ni 1.4 kwa boys
1.5 kwa girls wamerekebisha hii mwaka 2023