Matokeo ya ACSEE 2008

Matokeo ya ACSEE 2008

Binafsi namie ni 2008 hata wa 2007 watakutana na ngoma ya Ile 2006 walichanganyiwa instructions ya paper two Mana kawaida ni five questions out of ten Ila wakaambiwa wapige yote. Mwamba mmoja alimaliza Tisa mwingine Saba.
Binafsi ya pHysics na ya pure so hakuna Cha ajabu Sana na Kuna miamba ilipiga 1.3 Tena nyingi.so Don't brag blah blah apa
Bla bla eti eeh? Haya bwana
 
Ni kweli tupu,nilifanya huu mtihani,PCM,matokeo yalikuwa mabaya sana,wenzangu wengi walizungusha. Niliishia kupata D,D,D tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nataka kujua ni kwa nini matokeo ya Kidato cha Sita mwaka 2008 yamefichwa hayaonekani ila miaka mingine kama 2007 na 2009 yanaonekana.
ata mim nlikua mtahiniwa wa mwaka 2008 kwa comby ya ECA yan huo mwaka ndio nliamin kuna homa ya mtihan mana kuna jamaa yetu alilowa nguo nzima wkt tunafanya pepa ya Acc pepa 1
 
ata mim nlikua mtahiniwa wa mwaka 2008 kwa comby ya ECA yan huo mwaka ndio nliamin kuna homa ya mtihan mana kuna jamaa yetu alilowa nguo nzima wkt tunafanya pepa ya Acc pepa 1
Kwakweli mitihank ya ACSEE 2008 Kwa kweli Kwa upande wangu paper ile ya Physics 3 practical ya mafuta haikuwa rahisi kwangu ni mtihani ambao kwakweli katika mitihani yote niliyowai kufanya huo ulikuwa bonge la paper nilihsi kama mapigo ya Moyo yanaongezeka Physics haikuwa rahisi Ila ashukuruwe chemistry na Maths hazikuniangusha kivile
 
Hiyo 2008 wengine paper la physics 3 swali la heat hawakupewa mafuta ya kula kabisa na swali lilihitaji mafuta ya kula na maji yani ilikuwa mvurugano tabu tu .
 
Mbonaa haukuwa na ugumu wowote sema ni Ile Hali ya mtu yeye kujiona Kama wakati wake kuwa ni mgumu Sana Ila kwa wengine ni mayai yai.
Yaani mtu utakuta hata ni mjeda anayasifia mafunzo yake anadai sio Kama nyie mnaofanya.
Kinachosumbua hapa ni ego Ile kujiona kuwa wewe ni mwamba wengine ni udongo ama ni yai.
Yaani mtu akipitia njia zake za maisha anajiona Kama yeye pekee ndiye akapitia magumu kuliko wengine so anahitaji salute.
Kuna uzi humu unaongelea kuwa ni magumu gani umeshawahi pitia ambayo hutosahau.
Binafsi nishawahi kaa ndani siku mbili bila ya kula nikakutana na mwamba anadai alimaliza siku tatu so hata sikuandika kitu kuwa Kuna gumu nimeshapitia
Mkuu binadamu ndo tulivyo kila mtu anajiona yeye ndo mtambo
 
Ni 1.4 kwa boys
1.5 kwa girls wamerekebisha hii mwaka 2023
Kwa sasa wanahesabu namna gani cut off points. Awali e.g 2006, 2007, 2008 ilikuwa wanahesabu kwa uzito wa A=5, B =4, C= 3 na kuendelea kwa mtiririko wa madaraja. Kwa maana cut off points za juu unakuta ni 15, 14, 13, 12 na 11 kulingana na matakwa ya course husika. Je, hii 1.4 au 1.5 ya sasa calculation ipoje?
 
Back
Top Bottom