Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
</p>Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.</p>
<p> </p>
<p>Kilombero for change. </p>
<p> </p>
<p>Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.</p>
<p> </p>
<p>Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.
Kilombero for change.
Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.
Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
Bless uu dada! Kwanza tushinde,kisha tusherekee na kipaumbele kuwatumikia wapiga kura wako kama vile kwa Mungu wako!Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.
Kilombero for change.
Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.
Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
Ukilegeza tu wana chakachua, wekeni kambi hapo mapofanyia majumrishoKilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.
Kilombero for change.
Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.
Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
za mwizi ni arobaini