Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Status
Not open for further replies.
Katika jimbo la kilombero pale ifakara hapatoshi watu wameandamana naskia wanamshinikiza mkurugenzi wilaya amtangaze mteketa wakati kashinda mama halafu nimekutana na mmoja wa waliokuwa wakisimamia upigaji kura amesema matokeo eti ni mpaka saa 10 jioni coz bado vituo kumi na nne havijahesabiwa nitaendelea kutoa data kadiri ntakavyozipata
 
Hali ya sintofahamu bado inaendelea hapa Ifakara Regia anaongoza lakini kumekuwa na ugumu wa kutangaza matokeo.Msimamizi wa uchaguzi amedai matokeo yatatolewa muda wa mchana saa 8:30 leo.Hebu tusubiri tuone.
 
wasimdhulumu huyo dada, wanataka kumnyanyasa eeh!
Huko kilimbero wanaona kama porini sana, hawa NEC vipi tena!
 
Hali ya sintofahamu bado inaendelea hapa Ifakara Regia anaongoza lakini kumekuwa na ugumu wa kutangaza matokeo.Msimamizi wa uchaguzi amedai matokeo yatatolewa muda wa mchana saa 8:30 leo.Hebu tusubiri tuone.
 
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
 
Rejia tupe habari vipi huko dada!
 
Dada kama matokeo hayajatangazwa tafadhali usilale kabisa mambo bado, hawa jamaa wana masanduku ya wizi au wanatorosha yale ambayo wewe umeshinda zaidi : refer Mahanga segerea"
Kazi bado sana HAKUNA KULALA HADI KIELEWEKE!!!!
pipoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooz
:yield::yield::yield:
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.
 
Regia Mtema mgombea kupia CHADEMA anaongoza kwa mbali sana dhidi ya mgombea wa CCM Abdul Mteketa.Katika vituo 18 Regia anaongoza vituo 14.

Matokeo zaidi baadaye.

Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
 
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.

Mungu atakupigania mpendwa.....tunazidi kukuombea.....ushindi ni wako
 
Habari wanaJF.Mpaka sasa CHADEMA tunaongoza kwa kura 1200 kwa kweli mchuano ulikuwa mkali sana,tulikabana koo si kitoto.Matokeo bado hayatangazwa,awali ilikuwa tutangaziwe saa 6 lakini tumeambiwa tuendelee kuvumilia mpaka saa 9 alasiri.Naamini mambo yatakuwa mazuri.Jimbo limerindima kwa nderemo na vifijo.Wanachama,wapenzi na washabiki wa CHADEMA wanazunguka huko na huko kushangilia ushinidi.Nasikitika sijapata madiwani wa kutosha kuchukua halmshauri.

Kilombero for change.

Asante MUNGU wangu ninayekutumikia.

Regia,Ofisi za Halmashauri (Bomani)-Ifakara.

Hongera kwa kufanikiwa kuukwaa ubunge, kajitahidi kuweka maslahi ya wananchi mbele hata kwa gharama ya kutopitishwa na chama chako 2015
 
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
so umeshinda ubunge au??
 
Kilombero ina kata 23,nimeongoza kata 13.10 amechukua mwenzangu.Ushindani ni mkali sana ingawa nilimfunika sana kwenye kampeni alikuwa hafurukuti.
Hii ni sawa hata hizo 10 yawezekana si za ukweli maana hata hela sasa zinatumika sana kuwahonga waliopo hapo. Be very careful!
nadahni hata hapo toka uende kulinda kura zetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom