Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Elections 2010 Matokeo ya awali jimbo la Kilombero na matukio ya ajabu

Status
Not open for further replies.
Sipendi ving'ang'anizi wa mapenzi!!! hawa ccm hawana tofauti nao maana kama kura hujapewa means hupendwi sasa unalazimisha mapenzi hapo.. hawana aibu???:nono::nono::nono:
 
Hivi jamani wanaoipenda CCM wanajisikiaje wanapoona mambo yanayoendelea Tanzania kama wanadhamila ya kujua mema na mabaya? Hii ni aibu sana kwa Jaji Makame na Wenzake wote.
Brazil watu zaidi ya milioni 200 wameshatangaza matokeo yote, sisi 40m hatujafika hata nusu baada ya siku tatu. Kwa nini viongozi wote wa NEC wasijiuzulu. WEZI WAKUBWA, WATASHINDWA NA NGUVU ZAO ZA GIZA.
 
Hali si hali kwani baada ya MTEKETA kuonekana kuongoza mambo yamebadilika,na mwana JF mwenzetu biti MTEMA anaongoza kwa kura 1212 lakini hawataki kutangaza na wameanza kuchakachua wanasema watatangaza saa tisa.

Hizi ni habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika

Haya majitu ambayo si chaguo letu yanachong'ang'ania ni UFISADI tu!!!!!! Wananchi wa Kilombero msikubali kuchaguliwa wakati mlishafanya chaguo lenu la KWELI dada yetu REGIA!
 
Kaaaaaaaaaaazi kweli kweli, mwaka huu wataiba sana kura ila CHADEMA wako juuuuuuuuuuuuuuu.
 
poleni sana Kilombelo,mungu yupo nanyi katika kudai haki yenu: Jimbo la Karagwe pia wako wanaendelea na mchakato wa kuchakachua,maana wamegoma kutangaza hadi muda huu.ipo siku dhambi hii itawarudia wote wenye kufanya mambo hayo
 
Jamani Lipangalala, Mtoni, kwa Shungu, kibaoni, Lumemo, mbasa, Kiugani, mtaa wa wapogoro, mtaa wa wandamba etc , unhganeni kutetea haki yenu. Mkizubaa tu hawa jamaa watachakachua mpaka ndoa zenu, Big up Regia
 
Ccm acheni kufilisika, mmeshindwa kuwatetea wa tu wa maana na maeneo ya maana, mnamtetea Abdul mteketa kwa kuwa mfadhili wa ze comedy yenu nini, aisee wana kilombero msikubali kwa kuwa hamna kitu mle zaidi ya sifasifasifasifa tuuuuuuuuuuuuuu!
 
Nchi ni ya watanzania wote,CCM wasiibinafsishe. Tuko pamoja na Regia kwa maendeleo ya Kilombero!
 
habari za uhakika nilzopata sasa hivi sisiem wameshamaliza kuchakachua na mwanajf mwenzetu amenyimwa ushindi.inasikitisha inahuzunisha lakini hiyo ndiyo hali halisi.

hayo matokeo yaliyochakachuliwa yatatolewa hivi punde taarifa hii ni ya uhakika.tumtie moyo regia katika kipindi hiki kigumu.
 
habari za uhakika nilzopata sasa hivi sisiem wameshamaliza kuchakachua na mwanajf mwenzetu amenyimwa ushindi.inasikitisha inahuzunisha lakini hiyo ndiyo hali halisi.

hayo matokeo yaliyochakachuliwa yatatolewa hivi punde taarifa hii ni ya uhakika.tumtie moyo regia katika kipindi hiki kigumu.


kama ni kweli inackitisha sana tena sana.
 
habari za uhakika nilzopata sasa hivi sisiem wameshamaliza kuchakachua na mwanajf mwenzetu amenyimwa ushindi.inasikitisha inahuzunisha lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Hayo matokeo yaliyochakachuliwa yatatolewa hivi punde taarifa hii ni ya uhakika.tumtie moyo Regia katika kipindi hiki kigumu.
 
Da kwa kweli inasikitisha mambo wanayofanya hawa viumbe!
 
<p>
<font face="Comic Sans MS"><font size="4"><font color="purple">Mungu atakupigania mpendwa.....tunazidi kukuombea.....ushindi ni wako</font></font></font>
</p>
<p>&nbsp;</p>

Hongera mdogo wangu ila kwann hupokei cm?
 
Sidhani kama anaweza kusema kitu hapa saa hizi. Tumpe muda matokeo yatangazwe!!
 
jamani hata mangwale mmeniangusha? mmeshindwa kulinda kula?
 
hata kwa viboko, tutawangoa tu! Na ahadi za kisanii za JK ndio kaburi la kuifukia CCM mwaka 2015!
 
Nguvu ya umma itumike. Watu wakubali kuwa mabadiliko hayaji kwa kukaa tunyumbani na kuangalia tv eti unasubiri matokeo! Nendeni pale halmashauri mshinikize kutangazwa kwa matokeo.

Ni kweli watawaumiza lakini si mbaya kuumia kwa ajili ya wengi; hata hao polisi wanafika mahali wanachoshwa na hali. Si mmeona ubungo polisi walivyochoka !

Watu wa Kilombero angalieni mfano wa Mwanza, Arusha na Ubungo!!! hatutaki fujo lakini Hatutaki Zaidi Kuibiwa kijinga!!! :nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
 
Kilombero hadi kieleweke, CCM wakubali kushindwa tu! Kwani watu wamechoshwa na udhulumati wao
 
CCM mwogopeni MUNGU!

Laana ya Watanzania i juu yenu!!!!

Kuna siku mtalipa machozi ya Watanzania!!!

I say again, the day is coming when you will pay for wat you have made Tanzanian's pass through.

"Guerrilla warfare is used by the side which is supported by a majority but which possesses a much smaller number of arms for use in defense against oppression."
(from Guerrilla Warfare, 1960)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom