Matokeo ya darasa la 7 kwa kutumia aplikesheni inayotumia akili bandia (AI)

Matokeo ya darasa la 7 kwa kutumia aplikesheni inayotumia akili bandia (AI)

magabelab

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
371
Reaction score
190
Nenda google play kisha tafuta "Matokeo ya darasa la 7" Na furahia teknologia hii

la7_icon.png
 
Wewe kuwa muwazi tu unataka watu wadownload application yako ya kuangalizia matokeo (zipo nyingi)

Nilichoona ni kuangalia tu matokeo, uliposema akili bandia nilitegemea naweza kuchat na app inichambulie na kunifafanulia matokeo kwa mahitaji yangu.

Usiwe unaongeza chumvi, Siku nyingine kuwa mwaminifu upate hata watu wa kukushauri namna ya kuiboresha app.
 
Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??

Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
😂😂😂kumbe umejaribu mkuu?
 
Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??

Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Umeipa rate ya nyota ngapi? 😂😂
 
Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??

Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
👆🏾Eti linajiona linajua sana alafu linalalamikia mb 27 😂😂😂😂😂
 
Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??

Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Msaada , Nitumie screenshot yake nione maana simu zinatofautiana .
 
😂😂😂kumbe umejaribu mkuu?
Ku support wana mara moja moja
Umeipa rate ya nyota ngapi? 😂😂
1/10 hamana kitu mkuu
👆🏾Eti linajiona linajua sana alafu linalalamikia mb 27 😂😂😂😂😂
Mkuu nafanya economics mwaka wa 30+ sasa, najua thamani ya hadi mb 1, ni me download app yako ku toa-support kwa mwana JF mwenzetu najua ugumu ku develop product mm matokeo ya lasaba nipeleke wapi??
Badala uulize wapi kunachaga moto unaanza kuleta ujiaji embu kua na shukurani
 
Ku support wana mara moja moja

1/10 hamana kitu mkuu

Mkuu nafanya economics mwaka wa 30+ sasa, najua thamani ya hadi mb 1, ni me download app yako ku toa-support kwa mwana JF mwenzetu najua ugumu ku develop product mm matokeo ya lasaba nipeleke wapi??
Badala uulize wapi kunachaga moto unaanza kuleta ujiaji embu kua na shukurani
Sasa wewe kwa akili yako uki- download Mimi nafaidika na nn zaid ya intellectual satisfaction tu, kwa akili yako ya kuku hata ukifanya hiyo economics miaka 100 ni kazi bure tu. Ata mimi matokeo ya darasa la saba siyaitaji lakin haijanizuia kutengeneza hiyo app, watu kama wewe mwenye upeo mdogo wa akili alafu ujuaji mwing ndio manaleta shida sana katika jamii
 
Back
Top Bottom