Matokeo ya darasa la 7 kwa kutumia aplikesheni inayotumia akili bandia (AI)

Matokeo ya darasa la 7 kwa kutumia aplikesheni inayotumia akili bandia (AI)

Sasa wewe kwa akili yako uki- download Mimi nafaidika na nn zaid ya intellectual satisfaction tu, kwa akili yako ya kuku hata ukifanya hiyo economics miaka 100 ni kazi bure tu. Ata mimi matokeo ya darasa la saba siyaitaji lakin haijanizuia kutengeneza hiyo app, watu kama wewe mwenye upeo mdogo wa akili alafu ujuaji mwing ndio manaleta shida sana katika jamii

Shukuran mkuu
 
Shukuran mkuu
Kwenda zako huko , Wewe UI kama hiyo unaweza kutengeneza??, Hiyo UI unayoidharau nimeisumbukia tokea 2016, Je unajua technology gan imetumika hapo?, peleka ujuaj wako huko, Eti "Shukuran mkuu", "Shukuran mkuu" my ASCII 🤓
 
Emu eleza AI inatumikaje kwenye hio App, yaani wapi Kuna matumizi ya UI kwa User watu ndicho wanataka aio blablaa

Hata monetization yako unaijua Kama marketing tu inakusumbua instead kueleza watu inavyofanya kazi na hio AI inaleta potential gani kwa user ukilinganisha na zingine hili apakue wewe unapigana.
 
Emu eleza AI inatumikaje kwenye hio App, yaani wapi Kuna matumizi ya UI kwa User watu ndicho wanataka aio blablaa

Hata monetization yako unaijua Kama marketing tu inakusumbua instead kueleza watu inavyofanya kazi na hio AI inaleta potential gani kwa user ukilinganisha na zingine hili apakue wewe unapigana.
Kuna jamaa kanitumia email kwamba hii app imefanya atoke kazini mpaka duka la vifaa vya computer na kumnunulia mtoto wake laptop ili naye aanze kujifunza programming mapema, Nikafurah sana nikaona ngoja ni-create hii post, baada ya kucreate mr dwanzi anakuja kutoa review zake za chicken brain za 1/10 UI mbaya. Kati ya dwanz na aliyemnunulia mtoto wake laptop ni yup ana akili timamu?
 
Back
Top Bottom