Nenda google play kisha tafuta "Matokeo ya darasa la 7"
View attachment 2811736Na furahia teknologia hii
Hili ni jukwaa la tech, Elezea hio akili bandia inatumikaje kwenye app tofauti na kuangalia tu matokeo kama tulivyozoea tangu zamaniUmedownload na kutumia , au unaongea tu
πππkumbe umejaribu mkuu?Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??
Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Umeipa rate ya nyota ngapi? ππHuyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??
Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Aah kumbe, Kwa hiyo huja- code explicitly kupangilia data kabisa Bali ni ml algorithm ndio imefanya kazi. Kama ni hivyo hongera.Imetumika katika kuchambua na kupangilia data
ππΎEti linajiona linajua sana alafu linalalamikia mb 27 πππππHuyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??
Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Msaada , Nitumie screenshot yake nione maana simu zinatofautiana .Huyu ni watu wanao lidhalilisha taifa na watu wa IT wanaonekana sifuri. Sasa hapo kina AI gani, kama UI ya app yake imemshinda ku design ML, NPL model ndo ataweza ku design??
Nimepoteza FKN 27MBs kisa huu ujinga
Ku support wana mara moja mojaπππkumbe umejaribu mkuu?
1/10 hamana kitu mkuuUmeipa rate ya nyota ngapi? ππ
Mkuu nafanya economics mwaka wa 30+ sasa, najua thamani ya hadi mb 1, ni me download app yako ku toa-support kwa mwana JF mwenzetu najua ugumu ku develop product mm matokeo ya lasaba nipeleke wapi??ππΎEti linajiona linajua sana alafu linalalamikia mb 27 πππππ
Sasa wewe kwa akili yako uki- download Mimi nafaidika na nn zaid ya intellectual satisfaction tu, kwa akili yako ya kuku hata ukifanya hiyo economics miaka 100 ni kazi bure tu. Ata mimi matokeo ya darasa la saba siyaitaji lakin haijanizuia kutengeneza hiyo app, watu kama wewe mwenye upeo mdogo wa akili alafu ujuaji mwing ndio manaleta shida sana katika jamiiKu support wana mara moja moja
1/10 hamana kitu mkuu
Mkuu nafanya economics mwaka wa 30+ sasa, najua thamani ya hadi mb 1, ni me download app yako ku toa-support kwa mwana JF mwenzetu najua ugumu ku develop product mm matokeo ya lasaba nipeleke wapi??
Badala uulize wapi kunachaga moto unaanza kuleta ujiaji embu kua na shukurani