Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
Watoto hawa ambao wengi wana wastani wa d wakiingia sekondari taifa linataka wasipate divison 0!!!!
zamani wakati tunacheza chandimu (football ya mchangani), tulikuwa tunaweka vijigoli vidogo kama vile vya handball au hockey.
ikifika mahali timu zetu zinashindwa kufungana tulikuwa tunaamuaga kupanua magoli.
shukuru kawambwa & co wanacheza chandimu!!
Ebu fanya projection ya matokeo ya Form IV mwaka2016, itakuwa ni aibu juu ya aibu!! Namwonea huruma atakayekuwa Waziri wa Elimu mwaka huo!
uzuri wa watanzania tunaishiaga kulalamika tu... kisha upepo unapita.. Hakuna nchi rahisi kuongoza kama hii Duniani.