Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,967
- 2,147
Watoto hawa ambao wengi wana wastani wa d wakiingia sekondari taifa linataka wasipate divison 0!!!!
Ebu fanya projection ya matokeo ya Form IV mwaka2016, itakuwa ni aibu juu ya aibu!! Namwonea huruma atakayekuwa Waziri wa Elimu mwaka huo!