Matokeo ya form six 2023, English kwenye machela - case study Pandahili

Matokeo ya form six 2023, English kwenye machela - case study Pandahili

Wanajamimi mwenzenu macho yananiuma. Halii hii inatokana na mimi kukesha siku nzima nikitafuta mwanafunzi aliyepata A kwenye somo la English katika shule ya Pandahili.

Hii shule siku za karibuni ilikuwa na kashfa ya mwanafunzi kupotea, hata hivyo imeyabutua matokeo hayo in genera kweli kweli. In short kuna Div one 323, Div two 173, Div three 15, na hakuna Div four na zero.

Hivi WAtanganyika mbona mwaleta masihara kwenye lugha, kwa mwenendo huu tutaendelea kughalagazwa na majirani zetu mpaka lini.

Hivi nyinyi mliokimbilia masomo ya arts kwa kigezo kuwa na urahisi mbona matokeo yanawaumbua kwa kiasi hiki.

Masomo konki kama Physic na Mathematic unakuta Mabanda ya kutosha lakini kwenye English hamna. Basi tunaweza sema wanafunzi wa arts ni vilaza natural, hawaweki effort ya kutosha hivyo kupelekea kupata matokeo ya hovyo.

Nyinyi watu mliosoma art embu kuweni SERIOUS hata kidogo, Yaani kweli mtu una div one huku una D ya English unafurahia! Sasa hio A ya history itakusaidia nini kwenye dunia ya sasa. Mnachanganya sana kama homophones.
Kwa MTz akikimbilia kitu anachodai ni rahisi, si kwamba atakwenda kufanya ufanisi kwa njia rahisi, bali ni kwenda kubweteka zaidi, na matokeo yoyote kwake hayatakuwa mabaya kulinganisha na kule kugumu. Na hii ni kwa kila sekta, kila nyanja.
Hata mkataba wa bandari, tunawaachua watu baki ili sisi tuzidi kubweteka, maana kuwafuatilia wezi, mafisadi wachache waliopo bandarini, nibiazi kubwa sana! Sasa dpw akituletea thumni au milioni moja yote Kheri!
 
Jamaa alikuwa hashtuki na anajiamini sana.
Ilikuwa ni noma, Kuna HKL mmoja alikuja nionyeshaga clip kuwa watu wa sayansi mna kiingereza kibovu, dah nilichoka.
Kuna kipindi kile korona inabamba alienda kwa mseven hapo,tafuta Ile clip ujivunje mbavu na kile kiinglish🤣🤣fatuma karume mwenyewe anachemka kwenye kiinglish🤣🤣
 
Kwa MTz akikimbilia kitu anachodai ni rahisi, si kwamba atakwenda kufanya ufanisi kwa njia rahisi, bali ni kwenda kubweteka zaidi, na matokeo yoyote kwake hayatakuwa mabaya kulinganisha na kule kugumu. Na hii ni kwa kila sekta, kila nyanja.
Hata mkataba wa bandari, tunawaachua watu baki ili sisi tuzidi kubweteka, maana kuwafuatilia wezi, mafisadi wachache waliopo bandarini, nibiazi kubwa sana! Sasa dpw akituletea thumni au milioni moja yote Kheri!
Yap mtized hataki kero,hata maza kaamua hili bandari kuwapa wajomba zake,kukwepa zile kero na wizi wa watized pale bandari🙏
 
Kuna kipindi kile korona inabamba alienda kwa mseven hapo,tafuta Ile clip ujivunje mbavu na kile kiinglish🤣🤣fatuma karume mwenyewe anachemka kwenye kiinglish🤣🤣
Nitaitafuta, hiyo clip sijaiona.
 
Yap mtized hataki kero,hata maza kaamua hili bandari kuwapa wajomba zake,kukwepa zile kero na wizi wa watized pale bandari🙏
Sema watz ni wezi kinoma.
Licha ya kwamba mkataba sio wa manufaa kwa Tanzania In a long run ila aisee wizi umezidi, mtu anawaza anunue gari mwaka wake wa kwanza wa kazi.
 
Sema watz ni wezi kinoma.
Licha ya kwamba mkataba sio wa manufaa kwa Tanzania In a long run ila aisee wizi umezidi, mtu anawaza anunue gari mwaka wake wa kwanza wa kazi.
Eeh pale Kuna mchwa,wanatafuna balaa🤣yani wanapiga kama wanakufa kesho🤣afu ni syndicate 🙏
 
Unaijua language one wewe 😀😀
Daah Language one nilikua napata 100/100 , language 2 nilikua siipendi kwasababu ya kuandika sana..nilikua natumia mpaka booklet tatu kwa lg 2.
 
Kwa hiyo unajua electrostatic na organic 1 & 2 Ila hujui kuandika ifm na neno la Kiswahili ardhi?
Nafahamu maneno hayo bro, sema nimeandika hivyo kutokana na hii kibandiko niliyoona mtandaoni.

For fun.
 

Attachments

  • status_me_status_IMG-20230714-WA0000.jpg
    status_me_status_IMG-20230714-WA0000.jpg
    30.7 KB · Views: 2
  • Thanks
Reactions: Auz
Arts
Wanajamimi mwenzenu macho yananiuma. Halii hii inatokana na mimi kukesha siku nzima nikitafuta mwanafunzi aliyepata A kwenye somo la English katika shule ya Pandahili.

Hii shule siku za karibuni ilikuwa na kashfa ya mwanafunzi kupotea, hata hivyo imeyabutua matokeo hayo in genera kweli kweli. In short kuna Div one 323, Div two 173, Div three 15, na hakuna Div four na zero.

Hivi WAtanganyika mbona mwaleta masihara kwenye lugha, kwa mwenendo huu tutaendelea kughalagazwa na majirani zetu mpaka lini.

Hivi nyinyi mliokimbilia masomo ya arts kwa kigezo kuwa na urahisi mbona matokeo yanawaumbua kwa kiasi hiki.

Masomo konki kama Physic na Mathematic unakuta Mabanda ya kutosha lakini kwenye English hamna. Basi tunaweza sema wanafunzi wa arts ni vilaza natural, hawaweki effort ya kutosha hivyo kupelekea kupata matokeo ya hovyo.

Nyinyi watu mliosoma art embu kuweni SERIOUS hata kidogo, Yaani kweli mtu una div one huku una D ya English unafurahia! Sasa hio A ya history itakusaidia nini kwenye dunia ya sasa. Mnachanganya sana kama homophones.
Itakuwa performance ya hayo masomo ni mbovu kote, siyo Pandahill tu.


Arts wengi huwa wanasema ni rahisi lakini masomo yao ni ngumu sana kupredict utakachopata, tofauti na hesabu ambayo kama jibu ni 1,, basi ni 1 Dunia nzima.
 
Kuna kipindi kile korona inabamba alienda kwa mseven hapo,tafuta Ile clip ujivunje mbavu na kile kiinglish🤣🤣fatuma karume mwenyewe anachemka kwenye kiinglish🤣🤣
Mpaka leo neno enterpreneur Haliposawa kabisi baada ya bwana yule kulitamka
 
Hesabu kukariri sawa ila Fizikia kukariri lazima utaumia tu.

Ndo unakuta mtu anasema. Temperature is a degree of hotness or coldness of the body, haya muulize, kwanini nikitia mwiko wa chuma na mwiko wa mbao kwenye freezer, mwiko wa chuma ni WA baridi sana kuliko wa mbao? Aliyekariri hajibu.
Hata mimi niliyeishia la nne B najibu...
 
Back
Top Bottom