Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

Samba

Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
74
Reaction score
65
Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800?

Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?

 
Haina maana tena mana ambao wapo selected wamejijua.
 
Sasa hyo 001 hata wakrekebisha haileti maana mana kashakandwa huyo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wamemkanda wakaoma wamempa maks nyingi wakamkamda Tena ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ yaaan hata ukijumlisha maks zake zote 50 hajafika
 

Mwenyewe apo umeanza na Dada[emoji28]
 
Wamemkanda wakaoma wamempa maks nyingi wakamkamda Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaaan hata ukijumlisha maks zake zote 50 hajafika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mwamba wa 001 kapigwa trab na trat kwenye pepa moja hahhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwamba wa 001 kapigwa trab na trat kwenye pepa moja hahhhh
Hahahhaa.

Nimeona Muhas watu wamekandwa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ