Jamani dont wast ur time talkn about kibondo kwani kìhostoria huyu jamamaa alisumbua sana wazazi wake akiwa shule hasa ukizingatia kuwa wazazi wake ni watu wa dini sana (ONE OF JEHOVAS WITNESSES).
Baba ni mstaafu wa Bandari na mama yake pia nistaafu wa shirika la Bima, Ana dada zake 3 mmoja ni PR Wa PPF SARAH Kibonde
Baada ya kuönekana hafundishiki na wazazi wake waliamua kumuacha afunze na ulimwengu ndipo alipoukwaa very bad enough akaambukiza mama na mtoto alivyoona mambo ni magumu akawarudia wazazi na wazee wa kanisa akatubu na batizwa huku akitumia RVs
Baada ya kuona RVs zimefanya kazi akamuwa kurudi kule alitoka Pombe, madem, nafikiri atakuwa suspended na kanisa sasa.