leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Jamani dont wast ur time talkn about kibondo kwani kìhostoria huyu jamamaa alisumbua sana wazazi wake akiwa shule hasa ukizingatia kuwa wazazi wake ni watu wa dini sana (ONE OF JEHOVAS WITNESSES).
Baba ni mstaafu wa Bandari na mama yake pia nistaafu wa shirika la Bima, Ana dada zake 3 mmoja ni PR Wa PPF SARAH Kibonde
Baada ya kuönekana hafundishiki na wazazi wake waliamua kumuacha afunze na ulimwengu ndipo alipoukwaa very bad enough akaambukiza mama na mtoto alivyoona mambo ni magumu akawarudia wazazi na wazee wa kanisa akatubu na batizwa huku akitumia RVs
Baada ya kuona RVs zimefanya kazi akamuwa kurudi kule alitoka Pombe, madem, nafikiri atakuwa suspended na kanisa sasa.
Jamani dont wast ur time talkn about kibondo kwani kìhostoria huyu jamamaa alisumbua sana wazazi wake akiwa shule hasa ukizingatia kuwa wazazi wake ni watu wa dini sana (ONE OF JEHOVAS WITNESSES).
Baba ni mstaafu wa Bandari na mama yake pia nistaafu wa shirika la Bima, Ana dada zake 3 mmoja ni PR Wa PPF SARAH Kibonde
Baada ya kuönekana hafundishiki na wazazi wake waliamua kumuacha afunze na ulimwengu ndipo alipoukwaa very bad enough akaambukiza mama na mtoto alivyoona mambo ni magumu akawarudia wazazi na wazee wa kanisa akatubu na batizwa huku akitumia RVs
Baada ya kuona RVs zimefanya kazi akamuwa kurudi kule alitoka Pombe, madem, nafikiri atakuwa suspended na kanisa sasa.
leo nimecheka sana nilipoenda udsm nikakuta matokeo ya form four ya kibonde wa clouds yamebandikwa kila mahali. pamoja na ku resit alipata d mbili tu. walikerwa na kauli zake wakabandika matokeo yake ili kuonyesha alivyo kibonde
Yaleteni basi hayo matokeo humu ndani!! Hilo litakuwa fundisho na kwa wengine!
wabongo bwana kutofanya vizuri academics sio kwamba hana kitu kichwani. Mfumo wetu wa elimu uko one sided ndio maana wanashindwa wengi.
kuna watu wana vipaji tofuti vimeshindwa k kuibuliwa sababu ya kasumba ya physics , hesabu na history.
Life is not about all about academics.
Kuna watu wanaishi kwa kupiga kasia tu ulaya hata ukimuuliza archemedes principle hajui.
Hapo jirani kenya kuna wakimbiaji ukisikia wanhojiwa kingereza unajua kuwa hata hicho wanachoongea wamejifunza juzi juzi.
Inawezekana kweli kibonde hakufanya vizuri but tusisababishe tufanye kila mtu atake kwenda chuo kikuu ndio ajisikie kuwa ni mtanzania .
Nchi haiwezi kuendeshwa na wavaa tai tu na mainjinia. Tuache kuweka siasa na unafiki
Mkosoeni kibonde kwa hoja zake
wabongo bwana kutofanya vizuri academics sio kwamba hana kitu kichwani. Mfumo wetu wa elimu uko one sided ndio maana wanashindwa wengi.
kuna watu wana vipaji tofuti vimeshindwa k kuibuliwa sababu ya kasumba ya physics , hesabu na history.
Life is not about all about academics.
Kuna watu wanaishi kwa kupiga kasia tu ulaya hata ukimuuliza archemedes principle hajui.
Hapo jirani kenya kuna wakimbiaji ukisikia wanhojiwa kingereza unajua kuwa hata hicho wanachoongea wamejifunza juzi juzi.
Inawezekana kweli kibonde hakufanya vizuri but tusisababishe tufanye kila mtu atake kwenda chuo kikuu ndio ajisikie kuwa ni mtanzania .
Nchi haiwezi kuendeshwa na wavaa tai tu na mainjinia. Tuache kuweka siasa na unafiki
Mkosoeni kibonde kwa hoja zake
wabongo bwana kutofanya vizuri academics sio kwamba hana kitu kichwani. Mfumo wetu wa elimu uko one sided ndio maana wanashindwa wengi.
kuna watu wana vipaji tofuti vimeshindwa k kuibuliwa sababu ya kasumba ya physics , hesabu na history.
Life is not about all about academics.
Kuna watu wanaishi kwa kupiga kasia tu ulaya hata ukimuuliza archemedes principle hajui.
Hapo jirani kenya kuna wakimbiaji ukisikia wanhojiwa kingereza unajua kuwa hata hicho wanachoongea wamejifunza juzi juzi.
Inawezekana kweli kibonde hakufanya vizuri but tusisababishe tufanye kila mtu atake kwenda chuo kikuu ndio ajisikie kuwa ni mtanzania .
Nchi haiwezi kuendeshwa na wavaa tai tu na mainjinia. Tuache kuweka siasa na unafiki
Mkosoeni kibonde kwa hoja zake
Kweli shule ni must lakini sio kuwabeza kihivyo ambao hawakufanya vizuri. Sasa unashangaaa kwa nini kila mtu anataka kuitwa dr lakini hakuna output akipewa kazi.
Na sijatoa mfano wa ulaya tu nimetoa na mfano wa kenya riadha. Mimi nimefanya kazi nimeona hii kasumba inawafanya watu wasie na raha hataya kazizaosababu tujamiii inawaonanikazi za watu waliofeli. Kuna watu nimefanya nao kazi za kifundi wanaogopa kuonekanawamevaaoverall Dah.Kasumba hiy hiyo kila chuo kinatakakuwa chuo kikuu sababu wanafunzi wa Dar tec an IFM .
Midde class work force ni miimu tena ya hayo tunaowaitafaiulre wawe wa form for ar sixNarudia hakuna nchi inayojengwa na wavaa tai na maingeener tu iwe iliyoendelea au inayoendeleaaa.Infact hoja yangu ni kuwakiobonde ana udhaifu wake lakini hata hao wasomi wa UDSM nao upeo wao unatia mashaka.But kwa kuwa ni wanafunzi hizo ni reaction za kawaida.
darwin said:
nahisi kibonde akiondoka hio redio ratings zake itashuka na pengine kufa,haya madudu yake ndio yanayoipa chati hio redio:twitch: