Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

yeromin

Asante kwa link, lakini mbona sehemu ya kuandika jina la shule sioni?,
 
Last edited by a moderator:
duh haifunguki sijui kwa nini loading................
 
Naomba mnisaidie kuniwekea bunazi scondary school (s0638) na Kaisho seconday school (s0586) simu yangu kimeo imeshindwa kufungua. Naomba sana mnisaidie.
 
Asante kwa link, lakini mbona sehemu ya kuandika jina la shule sioni?,

Kama watumia keyboard shika CTRL+F halafu andika jina la Shule, kama Jina la shule ni Unique (mfano Ilboru) itakupeka kwa hilo jina halafu gonga ENTER utakutana na ubao wa matokeo..Kila la heri.
 
Shule za seminari juu!

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.

Jumla ya watahiniwa waliofaulu kwa Mujibu wa Matokeo hayo ni 23520 kuanzia dara la I hadi la II huku katika mchakato huo wasichana waliofaulu katika mchakato huo ni 7178 na wavulana ni 16342.Aidha Waziri Kawambwa amesema kuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza ni 1641, daraja la pili ni 6495 na daraja la tatu ni 15426 na walio feli ni 24903.

Shule bora ni pamoja na
St. Francis Girl ya Mbeya,
Marian Boys ya Bagamoyo,
Feza Boys DSM,
Marian Girls Bagamoyo, na
Simini ndizo zipo tano bora huku shule nyingine ni
Kanosa,
Jude,
St. Mary.

Source: Samuel sasali blog
rekebisha jina La shule hapo kwenye redi lisomeke ROSIMIN - TANGA
 
asante kwa link, lakini mbona sehemu ya kuandika jina la shule sioni?,

hakuna kitu, sehemu ya kuandika jina la shule au namba ya shule, hapo kwenye breaking news yao, matangazo current, kuna sehemu imeandikwa search necta.

Ukiweka jina la shule, yanakuja matokeo ya mwaka jana/juzi yaani csee 2011
 
Aisee naomba wda kuniwekea matokeo ya hz shule make simu yangu kimeo haifungui web ya necta kabsa. Bunazi secondary school (s0638) na Kaisho secondary school (s0586)
 
hakuna kitu, sehemu ya kuandika jina la shule au namba ya shule, hapo kwenye breaking news yao, matangazo current, kuna sehemu imeandikwa search necta.

Ukiweka jina la shule, yanakuja matokeo ya mwaka jana/juzi yaani csee 2011
mbona ukifungua hii link inakuja na orodha ya shule zote? jaribu ukishindwa niambie nikusaidie, kama hujui center number ya shule nenda google kisha andika jina la shule utaipata centre number then ucheki kwenye hiyo orodha, https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/olevel.htm
 
na mimi naomba uniwekee hapa hapa make natumia simu. Bunazi secondary school (s0638) na kaisho secondary school (s0586)
kama unataka ni ku PM sawa ila siwezi weka hapa labda ufanye hivyo mwenyewe
 
Hakuna cha mwana nani wala nini,hata me nakumbuka matokeo yangu yalikuja kwa namba,mnaoshangaa labda mliomaliza mwaka jana foolish age,
 
Back
Top Bottom