Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui kuwa hata mwaka jana mtihani ulifajnyikaNaibu Waziri Mulugo anafahamu kuwa NECTA imeshatangaza matokeo?
Wakuu,
NECTA wametangaza matokeo tayari.
Kuyapata matokeo, tembelea:
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 - (Hosted by JamiiForums)
QT Results 2012 - JamiiForums
Wakuu one za 7 na 8 zipo ngap..? Me cjabahatika kuziona...
hayo matokeo ni mtaala mbovuNoted, thanks.
Tatizo wewe umechukua jumla yote wakiwemo private candidates, wakati hiyo 60.7% ni ya wanafunzi wa shule school candidates tu soma vizuri mchanganua utaelewaHii wizara u-Mulugo umezidi sasa. Kweli Kawambwa anahakika waliopata zero ni asilimia 60.1 kweli? Jamani mimi nimechua namba ya waliopata zero nikagawanya na idadi ya wote nimepata 52.8% sasa hizo 60.1 kazipata wapi?