Marvelous King
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 662
- 1,289
Nadhani huko nyingi za serikaliTanga Sjui tunanini Jamanii!! Shule 10 za Mwisho 3 zinatokea Tanga!daaaaah.. Wasomi TA tunaendelea kubaki wachche MnoO
Sent using Jamii Forums mobile app
usichanganye O-level na A levelKibaha yetu ipo wapi? Tabora boys? Mzumbe? kwishinehii.
Kwani KEMEBOS si ndo kaizirege wenyewe?Mara kwa mara huwa wanaingia , sema Kaizilege ndo wamepigwa kibuti mara hii , nao huwa hawakosi top ten
Ameona Demand Kubwa inayohitaji huduma yake ya kuwapa technique za kufaulu sio mbaya kipindi akisubiri kuingia chuo.
Inaonekana wanamchujo wa kufa mtu,hawachukui MABASHITE.Yani, sema wanachuja hatari
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
ha ha ha ha ha ha ha hawa watoto wa siku hizi hawawezi hizi mamboDa nimekumbuka mbali kweli,Mwaka wetu mwenzetu mmoja alipata A masomo sita.Baraza wakamwita Dar wakamtungia paper lake mwenyewe na ulinzi juu,akapata A masomo saba...akaongeza A nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawawezi wataaibisha shuleInaonekana wanamchujo wa kufa mtu,hawachukui MABASHITE.
Kisimiri inafanyaga vizuri sana A levelWapi Kisimiri???
Naona Maua Seminary wamerudi
Hawa ndio wanaoenda kuzipaisha shule za serikali kwenya A LevelHizi utaziona matokeo ya wakubwa waliopevuka advanced level...achana na hao wafanya biashara wanapeana majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Walibadili jina mkuu!??
Duh, hao St. Francis wana balaa. Wanafunzi 91 wamepiga one wote
the Legend☆
One za 7 Zipo 41Kama sikoseiSio one two sema one za saba mkuu. Yaani hadi nimetetemeka hao mabinti ni habari nyingine.
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.
UPDATE:
Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
View attachment 1003444
>>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.
Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.
Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.
View attachment 1003477
View attachment 1003481
View attachment 1003479
View attachment 1003478
View attachment 1003480
>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.
>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne
>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea
>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha
Matokeo ni haya hapa:
CSEE
LINK 1
LINK 2
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
Wanavyolelewa kama mayai watashindwa kuongoza?Inapendeza sana kuona wanawake wakiongoza.
Ndugu zetu wa upande wa pili ( waislamu) hakuna shule walioingiza top ten...
Acha uchochezi,Asante kwa taarifaNdugu zetu wa upande wa pili ( waislamu) hakuna shule walioingiza top ten...