Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
Au sio haikosagi humo.Kwani hujawaona KEMEBOS hapo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio haikosagi humo.Kwani hujawaona KEMEBOS hapo ?
Uchochezi huoChato vipi kipindi hiki? hakujatoka mwanafunzi bora?
Itakua wamekula cha juuNimeandika hapo st Marks Sekondari School jirani yangu ni mlinzi hapo na alinielezea vyombo vya dola vililishughulikia hilo suala lilipo jitokeza maana alikuwa zamu getini.
Mkuu lini ilitoa mwanafunz bora?Chato vipi kipindi hiki? hakujatoka mwanafunzi bora?
Nenda hapo hapo kweny shule husika utaoyaona mkuu mbona yapo
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Hawa si ndio mmiliki moja na St Mathew na Ujenzi sec ya mkuranga?Hiyo ST Marks NECTA wanajiridhisha nini? Wakati mambo yote yalikuwa wazi na waliodanganya walikamatwa na kuhojiwa na wakasema ukweli wasomo na mwalimu aliye husika kudanganya.. Wasilete mambo uonevu wa samaki mmoja akioza wote wameoza.
Nitajie shuleMkuu nimejaribu kucheki private candidate shule alphagems sijafanikiwa kuona msaada kwenye tuta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi TO huenda wapi??
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
juzi kati darasa la saba si aliongoza wa iule na Form 2 alitokea kule iitaifa?Mkuu lini ilitoa mwanafunz bora?
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Wamevunja rekodi aisee One pointi 7 zipo 41 na hakuna aliyepata Div 2 wote Div One...Yaani KILAZA kapata One ya 15hatari hawa watoto
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Form four haijawai tokeajuzi kati darasa la saba si aliongoza wa iule na Form 2 alitokea kule iitaifa?
Hata wanavyolelewa ni hatariWamevunja rekodi aisee One pointi 7 zipo 41 na hakuna aliyepata Div 2 wote Div One.
Nitajie shule
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Hizi utaziona matokeo ya wakubwa waliopevuka advanced level...achana na hao wafanya biashara wanapeana majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuhurumia sana huyo Hope Mwaibanje. Ma To wengi hawanaga bright future!
Iliboru imetoa mwana. Anaongoza pale juu. Ilboru stand upShukrani mkuu ngoja nicheki matokeo ya madogo zangu Ilboru na Feza boys.Dah,ila mwaka huu hakuna Feza iliyoingia top 10?
Sent using Jamii Forums mobile app