Marvelous King
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 662
- 1,289
Hivi hao TO huenda wapi??
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi kwenye internet naweza ona, au yametangazwa ya awali tuyametoka
Shule gan mkuuHiyo ST Marks NECTA wanajiridhisha nini? Wakati mambo yote yalikuwa wazi na waliodanganya walikamatwa na kuhojiwa na wakasema ukweli wasomo na mwalimu aliye husika kudanganya.. Wasilete mambo ya sanaki mmoja akioza wote wameoza.
hahahaaa, ila angeenda kuwa wa kawaida tu, asingekuwa TO, unajua kuku wa kienyeji ni wa kienyeji tupata picha uupeleke uyo dogo wa iliboru shule kali za private kama marian boyz, hata uko fedha, au seminary ukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda hapo hapo kweny shule husika utaoyaona mkuu mbona yapoMsaada nataka kujua matokeo private candidate yanapatikana wapi? Nimejaribu kuangalia shule husika sijaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mtandaoni ndiko yanaanzia
Big up sana kwa mwl Otieno wa ilboru baada ya kukataa agizo la msukuma akiwa kasamwa sec geita baadaye akapewa nafasi ilboru boys, ameonyesha ana uwezopata picha uupeleke uyo dogo wa iliboru shule kali za private kama marian boyz, hata uko fedha, au seminary ukoo
Sent using Jamii Forums mobile app
yametoka zamani ndio unajua!Ukipanda mahindi unavuna mahindi na ukipanda maharagwe utavuna maharagwe , matokeo ya kidato cha nne yametoka link below
KhomGodlove: MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 NA QT 2018
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye internet yapo ngoja nijaribu kuattach link
Shule gan mkuu
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Hivi TO huenda wapi??hahahaaa, ila angeenda kuwa wa kawaida tu, asingekuwa TO, unajua kuku wa kienyeji ni wa kienyeji tu
Sent using Jamii Forums mobile app
ST FRANCIS WAMETISHA MTU 5 TOP TEN???Hazimo 10 bora , wala hazina mwanafunzi katika top 10 , kulikoni ? zipo au zimefungwa ?
View attachment 1003521
View attachment 1003522
Wapi Kisimiri???
Naona Maua Seminary wamerudi
hatari hawa watotoST FRANCIS WAMETISHA MTU 5 TOP TEN???