Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Hatari sana hawaDuh, hao St. Francis wana balaa. Wanafunzi 91 wamepiga one wote
the Legend☆
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana hawaDuh, hao St. Francis wana balaa. Wanafunzi 91 wamepiga one wote
the Legend☆
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.
UPDATE:
Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
View attachment 1003444
>>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.
Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.
Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.
View attachment 1003477
View attachment 1003481
View attachment 1003479
View attachment 1003478
View attachment 1003480
>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.
>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne
>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea
>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha
Matokeo ni haya hapa:
CSEE
LINK 1
LINK 2
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
Afu uzuri ni kwamba sio wabahatishaji, karibu kila mwaka wanajitahidi sana ku-mantain level yao
Mkuu wewe upo mbeya kwani the_legend, mbeya ni muda sans sijarudi tangu nimalize elimu yangu ya O level pale seminariHahahaa[emoji2] ulivyosema tuu ipo Mbeya moja kwa moja nlijua ni Mbalizi
the Legend☆
Wana masharti hao hatari hatari , ndiyo maana wanafunzi wa pale ST FRANCIS wanafanya vizuri, mchujo wao wa kuingia sekondari wanakamata wale smart students tu kwa muktadha huo lazima ST FRANCIS ifanye vizuriDuh, hao St. Francis wana balaa. Wanafunzi 91 wamepiga one wote
the Legend☆
Hapana siko Mbeya mkuu, wala sijawahi hata kukaa. Ila enzi hizo nlisomaga pia Seminary ya jimbo (kuanzia form 1 mpaka 6). Ilikua kila wakati wa likizo kuna siku maalumu ya wiki waseminari tunakutana kwa VD (mkurugenzi wa miito wa jimbo), na hapo tukawa tunakutana na waliotoka seminari mbali mbali, ikiwemo Mbalizi. Ndo chanzo cha kuzifahamu seminari karibu zoteMkuu wewe upo mbeya kwani the_legend, mbeya ni muda sans sijarudi tangu nimalize elimu yangu ya O level pale seminari
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa, hawataki kabisa kuchkua vilaza wa kuchafua jina lilojengeka miaka mingiWana masharti hao hatari hatari , ndiyo maana wanafunzi wa pale ST FRANCIS wanafanya vizuri, mchujo wao wa kuingia sekondari wanakamata wale smart students tu kwa muktadha huo lazima ST FRANCIS ifanye vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wanachuja sana, mi nina kijana pale alipenya lakini mmhh...na wana jeuri ukiingia hutoki wao wanasema watakunyoosha tu na wanachukua 92 tu.HIYO ST FRANCIS YA MBEYA NI SHIDA MIAKA YOTE, NI YA WASICHANA, SEMA HUWA WANACHUKUA WANAFUNZI WENYE UWEZO KWENYE MCHUJO WAO,
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mpaka mwezi wa 7 ndo wanaenda kufungiwa.Finally watoto watapungua humu sasa manake ilikua kero
Ndaliwizoo outShule za serikali wapi?Serikali inabidi mjiulize maswali je elimu bure ni solution. Tunataka Elimu bora na si elimu bure.
11 Jan nilimpeleka dogo akapambane.Kweli wanachuja sana, mi nina kijana pale alipenya lakini mmhh...na wana jeuri ukiingia hutoki wao wanasema watakunyoosha tu na wanachukua 92 tu.