Marvelous King
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 662
- 1,289
Hahaha [emoji81]Ukimtafuta dogo wa form 4 aliesoma shule zetu zileView attachment 1003561
Sent using Jamii Forums mobile app
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha [emoji81]Ukimtafuta dogo wa form 4 aliesoma shule zetu zileView attachment 1003561
Sent using Jamii Forums mobile app
Du! Wako vizuri sana.
Hivi sasa anafanya kazi wizara gani?Da nimekumbuka mbali kweli,Mwaka wetu mwenzetu mmoja alipata A masomo sita.Baraza wakamwita Dar wakamtungia paper lake mwenyewe na ulinzi juu,akapata A masomo saba...akaongeza A nyingine.
Amefaulu ila kuchaguliwa ni bahati nasibuhivi Divisheni three amepasi au amefeli?
Ukimtafuta dogo wa form 4 aliesoma shule zetu zileView attachment 1003561
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo unaletea udini mkuu.Acha udini mkuu,, futa post
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechek matokeo yao mkuu, B na C za kutafuta kwa tochiSio one two sema one za saba mkuu. Yaani hadi nimetetemeka hao mabinti ni habari nyingine.
asanteAmefaulu ila kuchaguliwa ni bahati nasibu
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Waleeni na wengine hivyo wafauluWanavyolelewa kama mayai watashindwa kuongoza?
Ilboru mda inarudi kwenye chat yake
Ni baba Paroko ,Parokia moja Dodoma.Hivi sasa anafanya kazi wizara gani?
Anamilik kampuni gan?
Anapesa kiasi gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda A level ya serikali,, ila private school ukimpeleka anakubaliwa mkuuasante
Je kuchaguliwa kivipi sijaelewa
Hii hali uliyonayo tunaita kutokumkubali mwenzio ndo shida sana ya watu weusi. Kubali tu kuna watu ni givenHivi sasa anafanya kazi wizara gani?
Anamilik kampuni gan?
Anapesa kiasi gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ubarikiweKwenda A level ya serikali,, ila private school ukimpeleka anakubaliwa mkuu
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Tunatofautiana maisha mkuuWaleeni na wengine hivyo wafaulu
yametoka madogo wamepiga nomaKWELI YAMETOKA