Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,416
- 16,603
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake. Sio kulia maendeleo ya jiraniTunatofautiana maisha mkuu
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake. Sio kulia maendeleo ya jiraniTunatofautiana maisha mkuu
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Mtoto wa kiume hapewi hata pesa ya kutosha ya matumizi shuleni anaambiwa pesa hakuna atatumiwa, lakini wa kike anamwagiwa mshiko wa kufa mtuWaleeni na wengine hivyo wafaulu
Hahahahah hatari kweli kweliKila mbuzi ale urefu wa kamba yake. Sio kulia maendeleo ya jirani
Shule ina 360 CCTV cameras coverage unataraji nini? No kuremba.
Inategemea na familia. Familia nyingine km unaenda boarding unapewa nauli ya kukufikisha na utatumiwa nauli ya kurudi. Hapo umeshapigiwa hesabu mpaka sabuni utakazotumiaMtoto wa kiume hapewi hata pesa ya kutosha ya matumizi shuleni anaambiwa pesa hakuna atatumiwa, lakini wa kike anamwagiwa mshiko wa kufa mtu
VIZURI SANA WAONE NJIA YA KWENDA A LEVEL MPAKA CHUOyametoka madogo wamepiga noma
Ukipita kwa nje unaweza hisi kwa washamba kumbe ndani wapo wajanjaShule ina 360 CCTV coverage unataraji nini? No kuremba.
Hatari sanaInategemea na fakilia. Familia nyingine km unaenda boarding unapewa nauli ya kukufikisha na utatukiwa nauli ya kurudi. Hapo umeshapigiwa hesabu mpaka sabuni utakazotumia
Acha kuwa na mawazo ya husda muda wote ni meuliza yupo wapi kwa sasa au anamiliki nin ili nipate kuona impact ya perfomance yake imemfikisha pale alipopataka?Hii hali uliyonayo tunaita kutokumkubali mwenzio ndo shida sana ya watu weusi. Kubali tu kuna watu ni given
Chagua kusuka au kunyoa
Kweli mkuuKwa sisi tuliopo Mbeya jijini hapa tunaona ni kawaida kwa shule ya St.Francis kuongoza miaka yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa watakusomea albadili shauri yakoShule zote waliongoza za wakristo tena wakatoliki?,wavulana waliongoza wakristo tena wakatoliki,wasichana waliongoza wote wakristo wakatoliki toka shule zote za wakatoliki.Huu ni mfumo kristo(in faiza n mohamed said)hahahahhaha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi wanaenda na simu mpaka darasani,so wavumilie tu bado watakuwepo tu[emoji41]Finally watoto watapungua humu sasa manake ilikua kero
Yani, sema wanachuja hatari
#WAHUNI SIO WATU WAZURI