Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Mtoto wa kiume hapewi hata pesa ya kutosha ya matumizi shuleni anaambiwa pesa hakuna atatumiwa, lakini wa kike anamwagiwa mshiko wa kufa mtu
Inategemea na familia. Familia nyingine km unaenda boarding unapewa nauli ya kukufikisha na utatumiwa nauli ya kurudi. Hapo umeshapigiwa hesabu mpaka sabuni utakazotumia
 
Inategemea na fakilia. Familia nyingine km unaenda boarding unapewa nauli ya kukufikisha na utatukiwa nauli ya kurudi. Hapo umeshapigiwa hesabu mpaka sabuni utakazotumia
Hatari sana
 
Hii hali uliyonayo tunaita kutokumkubali mwenzio ndo shida sana ya watu weusi. Kubali tu kuna watu ni given

Chagua kusuka au kunyoa
Acha kuwa na mawazo ya husda muda wote ni meuliza yupo wapi kwa sasa au anamiliki nin ili nipate kuona impact ya perfomance yake imemfikisha pale alipopataka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom