wined
JF-Expert Member
- Nov 1, 2015
- 2,294
- 2,781
HahahaaaaaaaHilo jina la shule tu hata Top 1000 haingii
Chagua kusuka au kunyoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaaaaHilo jina la shule tu hata Top 1000 haingii
Wengi wanaishia kuwa jobless na akipata kazi huwa walevi kinyamaNamuhurumia sana huyo Hope Mwaibanje. Ma To wengi hawanaga bright future!
Ume soma lkn au umekimbilia kucoment [emoji41][emoji41][emoji23]kasema alikua ana soma Arts tu means masomo 7 tu... Izo pharmacy na nursing vp mkuuHuyo kafanya vizuri kwa maana ana D kadhaa na C kadhaa. Anaweza kupata vyuo vya nursing, afya, pharmasy kwa certificate.
Asi reseat, kwa mwaka huu, hatatoboa. labda aanze kusoma tena toka form 3 aje kureseat mwakani.
Kwa hyo kama taifa lengo letu kila mwaka ni kupima ufaulu tu?Mwaka mwingine ningependa pia mtuambie vijana wetu wa kidato cha NNE katika kipindi chao cha miaka minne shuleni wameweza kuvumbua abc.ufsulu umeongezeka ndo kitu gani?Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.
UPDATE:
Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa
View attachment 1003444
>>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.
Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.
Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.
View attachment 1003477
View attachment 1003481
View attachment 1003479
View attachment 1003478
View attachment 1003480
>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.
>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne
>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea
>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha
Matokeo ni haya hapa:
CSEE
LINK 1
LINK 2
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
Civics hatari mzeeKuna kitu kimenishangaza kidogo Kuna shule miongoni mwa hizo St nin sijui huko! Imefanya vizuri Sana ila civics karibu wote wamepata C [emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi mkuu?
Kwani kaizirege ya ngapi?S
Hamna
Anaweza mkuu...Kama ameshindwa kufaulu kwa miaka 4 unategemea ataweza faulu kwa hiyo miaka 2 acha kupoteza hiyo hela kama una biashara unaweza mweka hapo akawa anakusaidia aki master vizuri biashara mpe mtaji ajitegemee mkuu...
S3428/0031Wadau mniangalizie hii namba ya MDOGO wangu S0031 Mkoa Ruvuma,Wilaya Tunduru,Secondary ya Nalasi.
Feza boys niya 23 na girls 14 halafu tizama matokeo yake ni one na two chache.