Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Matokeo ya Kidato cha Nne CSEE na QT 2018 yatangazwa! Shule ya Wasichana St. Francis ya Mbeya yaongoza

Huyo kafanya vizuri kwa maana ana D kadhaa na C kadhaa. Anaweza kupata vyuo vya nursing, afya, pharmasy kwa certificate.

Asi reseat, kwa mwaka huu, hatatoboa. labda aanze kusoma tena toka form 3 aje kureseat mwakani.
Ume soma lkn au umekimbilia kucoment [emoji41][emoji41][emoji23]kasema alikua ana soma Arts tu means masomo 7 tu... Izo pharmacy na nursing vp mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kesho Alhamisi Januari 24, 2019 litatangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018.

UPDATE:

Shule ya St. Francis ya Mbeya yaongoza kitaifa

View attachment 1003444


>>> Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya wanafunzi 57 wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Tumaini Lutheran Seminari ya Malinyi mkoani Morogoro baada ya kubaini shule hiyo kuvujisha mtihani huo.

Mbali na kufuta matokeo hayo, Necta imekifungia kituo hicho cha kufanyia mtihani.

Amesema wameagiza wahusika wote kuchukuliwa hatua wakiwemo polisi waliosimamia.

View attachment 1003477

View attachment 1003481

View attachment 1003479

View attachment 1003478

View attachment 1003480

>>> Ufaulu kwa mwaka 2018 umeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia 77.09 mwaka 2017 hadi asilimia 78.38.

>>> Mwanafunzi Hope Mwaibanje kutoka Shule ya Sekondari Ilboru ya Arusha ameongoza kwa ufaulu matokeo ya kidato cha nne

>>> Baraza limewafutia matokeo watahiniwa 252 wa kidato cha nne kutokana na udanganyifu, 71 wakiwa ni wa kujitegemea

>>> Wanafunzi 351 kutika shule ya sekondari St Mathew na St Marcus wamezuiliwa matokeo yao kutokana na udanganyifu na matokeo hayo yatatolewa pindi NECTA itakapojiridhisha

Matokeo ni haya hapa:

CSEE
LINK 1

LINK 2

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 1

MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2018 Link 2
Kwa hyo kama taifa lengo letu kila mwaka ni kupima ufaulu tu?Mwaka mwingine ningependa pia mtuambie vijana wetu wa kidato cha NNE katika kipindi chao cha miaka minne shuleni wameweza kuvumbua abc.ufsulu umeongezeka ndo kitu gani?
 
Kama ameshindwa kufaulu kwa miaka 4 unategemea ataweza faulu kwa hiyo miaka 2 acha kupoteza hiyo hela kama una biashara unaweza mweka hapo akawa anakusaidia aki master vizuri biashara mpe mtaji ajitegemee mkuu...
Anaweza mkuu...

#WAHUNI SIO WATU WAZURI
 
Kufeli Form 4 sio mwisho wa maisha! Kuna watu wengi wenye mafanikio makubwa na walifeli ovyo! Mwambie dogo atafakari ni nini kinacho mfurahisha kusoma na kazi gani inampa raha. Yaani agundue kipaji chake ni kipi??? Halafu msaidie kujenga ile kipaji, na hela zitamfuata.
 
Frankly speaking afanye yote, lakini asiche kujaribu "online sector" katika nyanja walau mbili au tatu.
 
Wadau mniangalizie hii namba ya MDOGO wangu S0031 Mkoa Ruvuma,Wilaya Tunduru,Secondary ya Nalasi.
 
Back
Top Bottom