Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010

Matokeo ya kidato cha nne hewani - 2010

Matokeo yametoka tumeyaona. Results zimeonyesha nini maana ya shule za Kata. Sidhani kama wote tunaelewa maana au outcome ya performance ya shule za kata kwa kizazi kinachopita huko! Tunatengeneza vijana wa aina gani kwa mstakabali wa taifa la kesho. Au tunaongeza idadi ya wasomi waliomaliza Form 4 bila kujali kiwango cha elimuna uelewa waliopata. Tunahitaji kuongeza sauti ya kilio chetu kunusulu hata wale wachache ambao pengine wangeandaliwa katika mazingira stahiki wasingepotea kwa kufeli kwenye shule za kata. Pole sana mtoto wa maskini na mtoto wa mkulima maana wenye nacho wamekuchimbia shimo ili kukupoteza huku watoto wao wakipitishwa njia nyingine iliyo salama. Lakini kesho utawasikia waisema tumeongeza idadi ya shule na udahili wa wanafunzi kutoka ..... hadi ..... Lakini hao hoa hawazungumzii ubora wa wale wanaomaliza kwamba wampanda kutoka wapi hadi wapi. Nawashukuru twaweza kwa report yao ya kiwango cha elimu waliotoa mwakajana mwisho wasiwasi wangu wengi hatujaisoma http://www.twaweza.org/uploads/files/Je_watoto_wetu_wanajifunza.pdf (mtaalamu anaweza kuiweka vizuri ili mtu akiclick ifunguke direct na si vibaya akinielekeza nami pia jinsi ya kuweka vizuri)
 
Matokeo yametoka tumeyaona. Results zimeonyesha nini maana ya shule za Kata. Sidhani kama wote tunaelewa maana au outcome ya performance ya shule za kata kwa kizazi kinachopita huko! Tunatengeneza vijana wa aina gani kwa mstakabali wa taifa la kesho. Au tunaongeza idadi ya wasomi waliomaliza Form 4 bila kujali kiwango cha elimuna uelewa waliopata. Tunahitaji kuongeza sauti ya kilio chetu kunusulu hata wale wachache ambao pengine wangeandaliwa katika mazingira stahiki wasingepotea kwa kufeli kwenye shule za kata. Pole sana mtoto wa maskini na mtoto wa mkulima maana wenye nacho wamekuchimbia shimo ili kukupoteza huku watoto wao wakipitishwa njia nyingine iliyo salama. Lakini kesho utawasikia waisema tumeongeza idadi ya shule na udahili wa wanafunzi kutoka ..... hadi ..... Lakini hao hoa hawazungumzii ubora wa wale wanaomaliza kwamba wampanda kutoka wapi hadi wapi. Nawashukuru twaweza kwa report yao ya kiwango cha elimu waliotoa mwakajana mwisho wasiwasi wangu wengi hatujaisoma http://www.twaweza.org/uploads/files/Je_watoto_wetu_wanajifunza.pdf (mtaalamu anaweza kuiweka vizuri ili mtu akiclick ifunguke direct na si vibaya akinielekeza nami pia jinsi ya kuweka vizuri)

Samahani kwa maelezo haya sikujua kama itafunguka baada ya kupost. Nashukuru inafunguka direct. Asanteni kwa wale ambao wenginisaidia kuiweka sawa.
 
[/COLOR]
Samahani kwa maelezo haya sikujua kama itafunguka baada ya kupost. Nashukuru inafunguka direct. Asanteni kwa wale ambao wenginisaidia kuiweka sawa.
umesomeka mkuu
 
Shule zilizofanya vizuri kitaifa ambazo zipo katika kundi la watahiniwa chini ya 40 ni pamoja:
Don Bosco (Iringa),
Feza wasichana (Dar es Salaam),
Maua Seminari (Kilimanjaro)
Queen of Apostle Ushirombo (Shinyanga)
Sengerema Seminari (Mwanza)
Sanu Seminari (Manyara)
Bethelsabs Wasichana (Iringa)
St Joseph –Kilocha Seminari (Iringa)
Dungunyi Seminari (Singida)
Mafinga Seminari (Iringa).

Pia zipo shule za mwisho ambazo zimefanya vibaya zilizokuwa na watahiniwa chini ya 40 kati ya hizo:
Sanje ya mkoani (Morogoro)
Daluni (Tanga)
Kinangali (Singida)
Mtanga (Lindi)
Pande (Lindi)
Imalampaka (Tabora)
Chongoleani (Tanga)
Mwamanenge (Shinyanga)
Mipingo (Lindi)
Kaoze (Rukwa).
 
Back
Top Bottom