Pamoja na nidhamu, ufuatiliaji, motisha kwa walimu, mazingira mazuri ya kujisomea, shule zote zinazofanya vizuri zinawachuja wanafunzi kupita kiasi kuhakikisha wale wanaofanya vizuri tu ndo wanafanya mitihani kupitia shule hizo na maksi za chini kwa mitihani shuleni ni 65%. Pia angalia walivyo makini kwenye selection. Marian wanafanya mtihani wanfunzi karib 4000 wanachagua 100 na akitetereka anaambiwa ahame shule haiwezi.