kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Swali hilo bado linakujia kichwani mpaka zama hizi? Mngeacha haya;
View attachment 140887
Na mkafanya hivi kwa watoto wenu.
View attachment 140888
Msingekuwa na haja ya kuilalamikia NECTA isiyo na kosa lolote kwa watoto wenu
Kijana jaribu kutumia.kichwa kufikiri!
Unatuwekea picha za watoto wa kizungu na wahindi kwa sababu mungu wako mzungu sio?
Huta hata aibu kuficha watoto wetu wa kiafrika. Kwa kuona haya kuwa labda hawatopendeza kama hao wakoloni!
Huyo.mtoto mwenye ak47 ni soldier!
Si wale.watoto wa.mama wanaofundishwa kupaka.wanja wakamfurahishe bwana mchungaji!
Unajifanya kusahau kuwa Lord resistance Army ya Uganda iliokuwa inapigana kwa JINA LA YESU ilikuwa inateka nyara watoto!
Na wale wa kike walikuwa kwa ajili ya kuwanajisi na kuwabaka!
Wale wa kiume walilawitiwa na kulazimishwa kujio.muhanga kwa.jina la Yesu!
Na walichinja na kuua ma alfu ya watu wasio na hatia!
Huyo mtoto ANAPIGANIA NCHI YAKE!
Eti leo.unajifanya kuwa wagalatia wana busara na waislamu.si kitu!
Jaribu kudanganya wajinga!
Wengi wetu humu jf tumekwenda shule!