Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Umefeli
Asante kwa taarifaHayo hapo
Wanachowaza ni kuwa wanataka yatoke haraka ili Kama mtu kafeli ajiandikisje PC kabla ya 28.02.2023😂😂😂😂😂😂Watoto wana wasiwasi balaa.
😂😂😂 watu kwa fursaMimi ndio huyo kaka karibu sana natoa huduma kwa kila siku ya wiki
Bila shaka matokeo yatakuwa mabaya; sasa wako bize wanachakachua ili yakae vizuri. Tumeshuhudia jinsi shule za Kata kama vile Mbagara na Mburahati walivyovurunda kwenye matokeo ya FTNA, kwa hiyo hata haya matokeo ya NECTA tutarajie madudu ikiwa serikali watashindwa kuchakachua matokeo.Miaka mitatu hii matokeo yamekuwa yakitoka mwanzoni mwa January. Kunaa nini kimewasibu NECTA mwaka huu.
Nini kinaendelea huko NECTA?