Matokeo ya kidato cha nne yamegoma kutoka?

Miaka mitatu hii matokeo yamekuwa yakitoka mwanzoni mwa January. Kunaa nini kimewasibu NECTA mwaka huu.

Nini kinaendelea huko NECTA?
Nimeona kama yameachiwa Leo?
 
Mkuu sonona inatokana na Nini ?:
 
Basi tujiandae kuoa maana zero za Mademu zinatisha
Ukioa namba E jiandae kwa lolote,hawafai Hawa sio bure πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani miaka minne amekosa hata D mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…