Msambaa mkweli
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 338
- 427
Inaonekana mpaka sasa, swala la form2 kuvuka kidato cha 3 kwa wastani ni kiini macho. Serikali inatakiwa kuwa makini, elimu ya Tanzania inashuka kiwango kwa kuwa na watu ambao taaluma yao haina viwango. Tunahitaji wataalamu makini. Mungu ibariki Tanzania.
Soma Pia: National form II Results 2009 aibu
Soma Pia: National form II Results 2009 aibu