Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019 Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka...