Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,419
Ni kwa mda gani? Na ukimaliza unaruhusiwa kujiunga na chuo chochote?Foundation coarse siku hizi inatolewa open university tu; vyuo vingine haviruhusiwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa mda gani? Na ukimaliza unaruhusiwa kujiunga na chuo chochote?Foundation coarse siku hizi inatolewa open university tu; vyuo vingine haviruhusiwi.
Anaenda chuo C+E=4 cutpointWakuu kuna dogo kapata alama C E E, je huyu chuo ataenda kweli au ndio tumwandalie shamba?
Ni mwaka mzima mkuu; jamaa niliyemsindikiza pale open sasa yupo Tumaini ya pale mwenge dar es saalam.ana persue degree yake tu vizuri.Ni kwa mda gani? Na ukimaliza unaruhusiwa kujiunga na chuo chochote?
Sawa mkuuNi mwaka mzima mkuu; jamaa niliyemsindikiza pale open sasa yupo Tumaini ya pale mwenge dar es saalam.ana persue degree yake tu vizuri.
Sidhani E sikuhizi sio principle tena. Cut off point kafikisha ila vigezo vya kuwa na kuanzia principle mbili hajakidhi nadhani.Anaenda chuo C+E=4 cutpoint
Hata udom atakosa ? [emoji3]Anapata lakini Private
Anapata lkn private au labda kama ana mibuyu huko vyuo vya serikali pia inategemea ufaulu wa mwaka huu PCB umekuwaje
Mkuu huna ile list ya wanafunzi waliofanya vizuri?Hizo hapo View attachment 1151116
Hata udom atakosa ? [emoji3]
Au ile campus ya udsm mbeya
Kwan cutting point zmekaaje au kafeli
Naomba umuulize Luambo kwanini hayupo kwenye top ten ukiwa mikoa wake unaongoza kwa shuleList ya mikoa Bora na wanafunzi Bora iko wap
Anhaa , kwani mwaka jana kuna watu waliopata one ya nane kwa vyuo vya serikali walikosa ?Hahaha 1.8 PCB kafeli vp hapo....sema kama selikalin naona atapta nusring au dental surgery ila PCB 1.8 MD sidhan labda kama PCB hawafaulu sana kama miaka ya nyuma.View attachment 1151172
Mwenyewe naisubiriList ya mikoa Bora na wanafunzi Bora iko wap
Ripoti ya 2019 sijaionaNaomba umuulize Luambo kwanini hayupo kwenye top ten ukiwa mikoa wake unaongoza kwa shule
Iko wap top ten?Naomba umuulize Luambo kwanini hayupo kwenye top ten ukiwa mikoa wake unaongoza kwa shule
Tunataka ya mwaka huu maana top ten hamna shule hata moja.Ripoti ya 2019 sijaiona
Ila ya 2018 kilimanjaro tulikuwa wa 6 wakati kagera mlikuwa 14
Pia tunaongoza kwa kuwa na shule nyingi both advance na ordinary
WAITU NYEGERA View attachment 1151177
Kaskazn hoyee[emoji3][emoji3][emoji3]Kisimiri
Umeanza Kaskazini tena[emoji3][emoji3]Kaskazn hoyee[emoji3][emoji3][emoji3]