Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

Matokeo ya Kidato cha Sita kwa Mwaka 2019 yametangazwa rasmi leo

Hatari Sana
Yaani NumberZao
Halafu Hawapokei
 
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
 
Duh basi elimu imekuwa ngumu sana maana enzi zetu ilikuwa ukiwa na hizo marks mapema sana degree unaenda.
Kabsa..kipind cha nyuma mfumo ulikua tofauti sana..nina schoolmate mmoja alipata div 3 ile ya mwsho mwaka 2013..akaenda medicine Kcmc..lakin hilo tokeo kwa kipind hiki, degree dah inakua ngumu hiv hatakama mtu kasoma sayans bado changamoto anapata...
Hlf kusoma saiv kama hakuna morali sana hata wazazi baadhi wamekata morali ya kusomesha..kam mzazi yuko vzr bas anamuezesha kdgkdg
 
Kwa ufaulu huo serikali hukosi mkuu ila kesi yako ya MD ndo utata uliopo otherwise uwe na mbuyu maana now daiz chuo ndo kinadahili sio TCU tena
Anhaa , kwani mwaka jana kuna watu waliopata one ya nane kwa vyuo vya serikali walikosa ?

Wakuu wengine njoen mtoe mchango wenu hapa !

Kwa md ?
 
Andaa pesa
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
 
Dah hata hivyo kwa sasa una-apply chuo kipi hicho ambacho NACTE wametangaza?
 
Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 98.32 mwaka 2019 ikiwa ni sawa na asilimia 0.74.
Dk Msonde amesema mtihani huo uliofanyika kati ya Mei 6 hadi 23 mwaka 2019, watahiniwa 91,298 walisajiliwa wakiwamo wasichana 37,948 sawa na asilimia 41.56 na wavulana 53,350 sawa na asilimia 58.44.

Amesema kati ya watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa wa shule walikuwa 80,216 na watahiniwa wa kujitegemea walikuwa ni 11, 082.

Katibu mtendaji huyo amesema kati ya watahiniwa 91,298 waliosajiliwa kufanya mtihani , watahiniwa 90,001 sawa na asilimia 98.58 walifanya mtihani na watahiniwa 1,297 sawa na asilimia 1.42 hawakufanya mtihani huo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ugonjwa na utoro.

Dk Msonde amesema watahiniwa wa shule, kati ya watahiniwa 80,216 waliosajiliwa, watahiniwa 79,770 sawa na asilimia 99,44 walifanya mtihani ambapo wasichana walikuwa 33,883 sawa na asilimia 99.57 na wavulana 45,887 sawa asilimia 99.35. Watahiniwa 446 sawa na asilimia 0.56 hawakufanya mtihani.

Amesema watahiniwa wa kujitegemea kati ya11,082 waliosajiliwa, 10,231 sawa na asilimia 92.32 walifanya mtihani na watahiniwa 851 sawa na asilimia 7.68 hawakufanya.

“Jumla ya watahiniwa 88,069 sawa na asilimia 98.32 ya watahiniwa waliofanya mtihani wamefaulu,” amesema Msonde
afadhali yatoke hawa wanafunzi watupunguzie jam, na stress huku JF
 
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
13 iyo mkuu andaa pesa
 
pole sana mtoa hoja hii ILA umepeleka malalamiko yako kusikotakiwa lini tutaanza kutumia taasisi katika kutatua issue kama hii?why kila kitu kiende kwa our no 1?je atakapomaliza muda wake na kuingia mwingine mwenye utendaji tofauti itakuaje?BUT TUKIWA NA TAASISI imara na huru ,wapangaji wa pale magogoni hawataweza kubadili kirahisi hizi taasisi,issue yako tungekuwa na public protector au judiciary huru,wangesaidia hii issue.
 
Pia NACTE kwa sasa bado hawajafungua dirisha la maombi. Matokeo ndio yametoka leo itabidi mifumo iwekwe sawa ili isomane ni jambo linachukua muda kidogo the same apply to vyuo chini ya TCU na HESLB
 
Hawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.

Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.

General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D

Ni dvsn 3 ya 14.
Saut zote, Mwal Nyerere, Makumira anasoma
 
Back
Top Bottom