Advance mara zote wapo smartWameingiza shule tatu kwenye kumi bora 1 kisimiri, 5 Tabora Boys na 6 Kibaha sec
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Advance mara zote wapo smartWameingiza shule tatu kwenye kumi bora 1 kisimiri, 5 Tabora Boys na 6 Kibaha sec
kwa matokeo hayo MD sidhani, maana muhimbili mwaka jana almost waliopata mwisho 1.6 angalau ndo waliweza kupenya UDOM baadhi waliokuwa na 1.7 walipata bahati zao.Anhaa , kwani mwaka jana kuna watu waliopata one ya nane kwa vyuo vya serikali walikosa ?
Wakuu wengine njoen mtoe mchango wenu hapa !
Kwa md ?
sana na ilboru imekuwa ya 11, cha kujiuliza wapi tunakosea kwenye O LevelAdvance mara zote wapo smart
Pia NACTE kwa sasa bado hawajafungua dirisha la maombi. Matokeo ndio yametoka leo itabidi mifumo iwekwe sawa ili isomane ni jambo linachukua muda kidogo the same apply to vyuo chini ya TCU na HESLB
Tunataka ya mwaka huuRipoti ya 2019 sijaiona
Ila ya 2018 kilimanjaro tulikuwa wa 6 wakati kagera mlikuwa 14
Pia tunaongoza kwa kuwa na shule nyingi both advance na ordinary
WAITU NYEGERA View attachment 1151177
Kwenye web ya necta siioniTunataka ya mwaka huu
Nafikiri anapata Pcb mwaka huu naona kama wachacheKuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Ila kimkoa hutukosi top Ten hiyo haikwepeki tangu nchi hii kupata UhuruUmeanza Kaskazini tena[emoji3][emoji3]
Hakuna shule ya Kilimanjaro hata moja top ten pamoja na kuwa na shule nyingi.
Aende Kampala university muhas kuna watoto wanapenda sifa wanaandika A masomo yote manneKuna dogo kapata
Physics B
Chem C
Bios C
Anaweza pata chuo cha udaktari bongo ukitoa muhimbili cha serikali , sijui hata admissions zmekaaje miaka hiki
Msaada tafadhali
Sisi tunaangalia majoriy hatuangalii individual,kimkoa kilimanjaro huikosi top ten tangu nchi hii kupata Uhuru both o level and a levelTunataka ya mwaka huu maana top ten hamna shule hata moja.
Website hipo busy sana kila mmoja anataka aoneKwenye web ya necta siioni
Chuo anaenda ila anaonekana hapendi kusoma huyo mtafutie faniHawa madogo nao wamalize kusoma... Dingi niko anti-book tunachanganyana akili tu.
Huyu vipi huyu... Niandae pesa au nimkabidhi mtaji.
General studies - E.
History - S
Kiswahili - D
Language - D
Ni dvsn 3 ya 14.
Andaa pesa
Ni 14 ila vipi kwamba uhakika atapata chuo au tuombe MUNGU tu lolote linaweza likawa.....13 iyo mkuu andaa pesa
Ngoja ijeSisi tunaangalia majoriy hatuangalii individual,kimkoa kilimanjaro huikosi top ten tangu nchi hii kupata Uhuru both o level and a level
Tulia ripoti ije tuione
Yeah!Enzi zetu elimu ilikuwa hajaingiliwa sana na siasa. Siku hizi yupo jiwe na sirikali yake anachotaka yeye ni sifa tu, hata kwa kuchezea mambo nyeti kama elimu. Wao wanataka kusikia "ufaulu umeongezeka" hata kama hao wanaosemwa wamefaulu hawajui kusoma na kuandika (refer to form one students).
Saut zote, Mwal Nyerere, Makumira anasoma
Chuo anaenda ila anaonekana hapendi kusoma huyo mtafutie fani
Hapana achana na MUHASAende Kampala university muhas kuna watoto wanapenda sifa wanaandika A masomo yote manne