Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
KisimiriShule ya kwanza ni ipi
Mkuu huyo kwa saiv changamoto ipo sana ....aandaliwe mtaji na akabidhiwe kwa mkataba tu..hlf saiv kusoma hakuna mantiki sanaWakuu kuna dogo kapata alama C E E, je huyu chuo ataenda kweli au ndio tumwandalie shamba?
Wakuu nilikuwa napita mahali pana mchanganyiko wa watu,nimewasikia wakizungumzia kuwa matokeo ya kidato cha sita yametoka,je ni kweli?
kama ndio kwa mwenye link msaada tafadhali..ili tujue mapema wanetu wamevuna nini?
Jee shule za serikali zimefua dafu dhidi ya zile za private?
Nafasi ya shule za Geita ikoje?
Mkuu huyo kwa saiv changamoto ipo sana ....aandaliwe mtaji na akabidhiwe kwa mkataba tu..hlf saiv kusoma hakuna mantiki sana
Shule ya kwanza ni ipi
Hizo hapoMwenye top ten schools
Duh basi elimu imekuwa ngumu sana maana enzi zetu ilikuwa ukiwa na hizo marks mapema sana degree unaenda.
https://matokeo.necta.go.tz/acsee/indexfiles/index_z.htmWakuu nilikuwa napita mahali pana mchanganyiko wa watu,nimewasikia wakizungumzia kuwa matokeo ya kidato cha sita yametoka,je ni kweli?
kama ndio kwa mwenye link msaada tafadhali..ili tujue mapema wanetu wamevuna nini?