Matokeo ya kipigo cha Israel dhidi ya Iran 0ctober 26,024 yanazidi kudhihirika

Matokeo ya kipigo cha Israel dhidi ya Iran 0ctober 26,024 yanazidi kudhihirika

MBYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
366
Reaction score
521
Mnamo October 26,2024 Israel ilifanya shambulizi la kulipiza kisasi dhidi ya Iran,katika shambulio hilo Israel ilitumia anga la Iraq kulitekeleza huku ndege chache aina ya F 35 zikipenya anga la Iran bila kutambuliwa na ulinzi wa Anga wa Iran

Baada ya shambulizi Hilo Iran ilikuja na majibu harakaharaka ikidai kuzima shambulizi ikiambatanisha na picha za video zilizoonyesha makombora machache ya ndege za Israel yakionekena kulipuliwa na mifumo ya Anga ya Iran juu ya anga yake

Israel na Marekani wakasema shmbulizi lilifanikiwa kudhoofisha mifumo ya ulinzi za Iran zikiwepo rada za bei ghali,mifumo ya ulinzi wa anga ya S 300 na viwanda vya silaha jambo ambalo Iran kupitia kwa wasemaji wake walikansha vikali huku wakitaja ni baadhi ya vifo vya askari wachache na rada chache zilizo baribiwa kidogo

Ayatollah kiongozi wakidini na serikali nchi Iran akasema pomoja nakuwa shambulio Hilo kufeli lakini litajibiwa promise lll ikatolewa kama ahadi ya kisasi kikali ambacho kitaacha historia duniani

Matokeo yamekuwa sawa na maoni ya wachambuzi WA mambo kwa sababu ni miezi kadhaa Sasa imepita Iran inasita kitekeleza ahadi yake ya kuilipua Israel
Ushawishi wa Iran umezidi kupungua hasa baada ya kundi lake la Hesbolah kupigwa na kusalim amri huku ikipoteza ushawishi wake nchi Syria baada ya kipenzi chake Assad Kung'olewa
Hivi karibuni pia Hamasi wameonyesha kushusha kiburi baada ya kukubali kuwaachia mateka ambalo lilikuwa dai kubwa la serikali ya Israel

Huu ni ushahidi wa kufanikiwa kwa kipigo Cha Israel kwa Iran mnamo October 26,2024
 
Mnamo October 26,2024 Israel ilifanya shambulizi la kulipiza kisasi dhidi ya Iran,katika shambulio hilo Israel ilitumia anga la Iraq kulitekeleza huku ndege chache aina ya F 35 zikipenya anga la Iran bila kutambuliwa na ulinzi wa Anga wa Iran

Baada ya shambulizi Hilo Iran ilikuja na majibu harakaharaka ikidai kuzima shambulizi ikiambatanisha na picha za video zilizoonyesha makombora machache ya ndege za Israel yakionekena kulipuliwa na mifumo ya Anga ya Iran juu ya anga yake

Israel na Marekani wakasema shmbulizi lilifanikiwa kudhoofisha mifumo ya ulinzi za Iran zikiwepo rada za bei ghali,mifumo ya ulinzi wa anga ya S 300 na viwanda vya silaha jambo ambalo Iran kupitia kwa wasemaji wake walikansha vikali huku wakitaja ni baadhi ya vifo vya askari wachache na rada chache zilizo baribiwa kidogo

Ayatollah kiongozi wakidini na serikali nchi Iran akasema pomoja nakuwa shambulio Hilo kufeli lakini litajibiwa promise lll ikatolewa kama ahadi ya kisasi kikali ambacho kitaacha historia duniani

Matokeo yamekuwa sawa na maoni ya wachambuzi WA mambo kwa sababu ni miezi kadhaa Sasa imepita Iran inasita kitekeleza ahadi yake ya kuilipua Israel
Ushawishi wa Iran umezidi kupungua hasa baada ya kundi lake la Hesbolah kupigwa na kusalim amri huku ikipoteza ushawishi wake nchi Syria baada ya kipenzi chake Assad Kung'olewa
Hivi karibuni pia Hamasi wameonyesha kushusha kiburi baada ya kukubali kuwaachia mateka ambalo lilikuwa dai kubwa la serikali ya Israel

Huu ni ushahidi wa kufanikiwa kwa kipigo Cha Israel kwa Iran mnamo October 26,2024
So what?
 
Nonsense,hilo deal linafanana na lile la biden walilokataa Israel back in May!Kikwazo ilikuwa ni Netanyahu kuchomekea vipengele vipya ili kuhakikisha deal halifikiwi!
 
Mnamo October 26,2024 Israel ilifanya shambulizi la kulipiza kisasi dhidi ya Iran,katika shambulio hilo Israel ilitumia anga la Iraq kulitekeleza huku ndege chache aina ya F 35 zikipenya anga la Iran bila kutambuliwa na ulinzi wa Anga wa Iran

Baada ya shambulizi Hilo Iran ilikuja na majibu harakaharaka ikidai kuzima shambulizi ikiambatanisha na picha za video zilizoonyesha makombora machache ya ndege za Israel yakionekena kulipuliwa na mifumo ya Anga ya Iran juu ya anga yake

Israel na Marekani wakasema shmbulizi lilifanikiwa kudhoofisha mifumo ya ulinzi za Iran zikiwepo rada za bei ghali,mifumo ya ulinzi wa anga ya S 300 na viwanda vya silaha jambo ambalo Iran kupitia kwa wasemaji wake walikansha vikali huku wakitaja ni baadhi ya vifo vya askari wachache na rada chache zilizo baribiwa kidogo

Ayatollah kiongozi wakidini na serikali nchi Iran akasema pomoja nakuwa shambulio Hilo kufeli lakini litajibiwa promise lll ikatolewa kama ahadi ya kisasi kikali ambacho kitaacha historia duniani

Matokeo yamekuwa sawa na maoni ya wachambuzi WA mambo kwa sababu ni miezi kadhaa Sasa imepita Iran inasita kitekeleza ahadi yake ya kuilipua Israel
Ushawishi wa Iran umezidi kupungua hasa baada ya kundi lake la Hesbolah kupigwa na kusalim amri huku ikipoteza ushawishi wake nchi Syria baada ya kipenzi chake Assad Kung'olewa
Hivi karibuni pia Hamasi wameonyesha kushusha kiburi baada ya kukubali kuwaachia mateka ambalo lilikuwa dai kubwa la serikali ya Israel

Huu ni ushahidi wa kufanikiwa kwa kipigo Cha Israel kwa Iran mnamo October 26,2024
Mbona kama umeandika kwa pupa chini juu, juu chini.
 
Wacha upotoshaji, aliyekuwa obstacle ni Netanyau na baada ya mkwala kutola kwa Trump kakubali dili lifanyike, Biden kakiri ilo dili lilikuwepo tolea May mwaka jana, kikwazo ilikuwa Netanyau.
 
Kuna wajinga walituaminisha kwamba Iran ni habari nyingine kabisa katika dunia hii

Baada ya Iran kulipiza kisasi cha pili baada ya Israel kuipiga irani kwa uduni na wa kiajabu, Iran alituma maboom 2000 kwa mpigo huko Israel

Kuna wale Wairan kutoka Mbagala matitu waliesherehekea huku wakisema, sasa ni zamu ya Wayahudi kulipiza kama wanaweza

Wengine walienda mbaali zaidi huku wakisema, Israel ajatibu hata kurusha jiwe tu ndani ya Iran aone kama kile kinchi kitaendelea kuwepo kwenye uso wa Dunia

Kulalaleki, Israel alichokifanya huko Irani, wanayajua Wairani orijino na siyo hao Wairani wa Shamaliwa na Kule Mbagala

Na ndiyo maana Wairani waishio huko, mpaka leo wamebaki kutishia nyau tu

Na ole wao walipize, ndio watamjua Myahudi ni nani
 
Iran ni mchumba tu mbele ya Israeli. Kitendo cha Israel kupenyeza majasusi ndani ya Iran na kumuua gaidi Haniyeh mbele ya ayatollah kinadhihirisha ubovu wa intelejensia ya Iran
 
Kuna wajinga walituaminisha kwamba Iran ni habari nyingine kabisa katika dunia hii

Baada ya Iran kulipiza kisasi cha pili baada ya Israel kuipiga irani kwa uduni na wa kiajabu, Iran alituma maboom 2000 kwa mpigo huko Israel

Kuna wale Wairan kutoka Mbagala matitu waliesherehekea huku wakisema, sasa ni zamu ya Wayahudi kulipiza kama wanaweza

Wengine walienda mbaali zaidi huku wakisema, Israel ajatibu hata kurusha jiwe tu ndani ya Iran aone kama kile kinchi kitaendelea kuwepo kwenye uso wa Dunia

Kulalaleki, Israel alichokifanya huko Irani, wanayajua Wairani orijino na siyo hao Wairani wa Shamaliwa na Kule Mbagala

Na ndiyo maana Wairani waishio huko, mpaka leo wamebaki kutishia nyau tu

Na ole wao walipize, ndio watamjua Myahudi ni nani
Tumeshaakubaliana msije huko jamiiforum mkiwa mmelewa . Ndo unaona ulichocoment hapo
 
nataka na mimi nipigane na umasikini wangu mpaka mmoja wetu aje akane kupigwa wakati ushahidi upo..
Mimi nilishaanza, ila jamaa mbishi, nampiga anakuja kivingine na maproxis wake. Ila nimeshawatambua nashughulika nao mmoja mmoja kisha maskini abaki peke yake namwangusha kiurahisi
 
Hicho kipigo wengi hatujakiona ila kile cha Iran kwenda Israel kilioneshwa live coverage wengi tulikiona.
 
Huu ni ushahidi wa kufanikiwa kwa kipigo Cha Israel kwa Iran mnamo October 26,2024

Hicho kipigo wengi hatujakiona ila kile cha Iran kwenda Israel kilioneshwa live coverage wengi tulikiona.
mwambie atuwekee hata video moja tuone hicho kipigo walichopata Iran.

Halafu anatudanganya kuna ndege za Israel ziliingia ndani ya anga ya Iran. Hivi anajua watu wote tunapata habari BBC au FoX news
 
mwambie atuwekee hata video moja tuone hicho kipigo walichopata Iran.

Halafu anatudanganya kuna ndege za Israel ziliingia ndani ya anga ya Iran. Hivi anajua watu wote tunapata habari BBC au FoX news
We endelea kujifariji wakati Ayatollah jasho lamtoka
 
Vichaa vya wakikristo eti Israel alipiga Iran 🤣 Aliye piga ni US, Italy, UK, UAE, Saud Arabia na Jordan pia hao Israel.

Mnamkuza Israel kwa udini wenu tu, Gaza hata kigamboni n8 kubwa kashindwa vita.
 
Vichaa vya wakikristo eti Israel alipiga Iran 🤣 Aliye piga ni US, Italy, UK, UAE, Saud Arabia na Jordan pia hao Israel.

Mnamkuza Israel kwa udini wenu tu, Gaza hata kigamboni n8 kubwa kashindwa vita.
Wahi milembe mapema kabla ujawapa shida ndugu zako kukufunga kamba ukiwa huna nguo,ni ushauri tu
 
Back
Top Bottom