[emoji1787] [emoji1787] Akikupa jibu nitag MkuuKwani ye alipata ngapi?
Vp na PhD ya Magu!?Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Dah!!! Pamoja na standard kushuka bado kuna shule hazitoi Div 1?Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Sio TO angekuwa ZOKwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
hii issue ya kuhoji elimu za viongoz ilishagharimu maisha ya watu, cha muhimu ana PHD hayo mengine mezeaKwani ye alipata ngapi?
Haya mambo tunayaanzaga wenyewe, halafu wahusika ‘wakifix’ tuanze kulalamika kama enzi zile Chato kuwa kinara.
Kwani ye alipata ngapi?
Alipata IV ya 29Kwani ye alipata ngapi?
Haya mambo tunayaanzaga wenyewe, halafu wahusika ‘wakifix’ tuanze kulalamika kama enzi zile Chato kuwa kinara.
Akiifanyia hiyo shule favor yoyote malalamiko yataibuka kila kona!..anaweza ku-fix hilo tatizo lakini sio kufanya kufuru kama alivyokuwa akifanya Magufuli.
..lakini ni aibu kwa shule hiyo kuwa na matokeo mabaya wakati Samia amekuwa kwenye uongozi muda mrefu.
..hapo ndipo utakapojua kwamba viongozi wetu hawana uchungu na wananchi wao.
Ukisema hivi una maana sasa Mh Rais aache kushughulika na mambo ya Tanzania ashughulike na Kizimkazi? Sio sawa, na hauoneshi ukomavu wa akili kwa mleta uzi!Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Akiifanyia hiyo shule favor yoyote malalamiko yataibuka kila kona!