Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kwa hiyo ni kama Bashite na Nape tuu? Sasa hao ndio washauri wake tena wa karibu!Alipata IV ya 29
Mamaaaaa! Tumeumia
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni kama Bashite na Nape tuu? Sasa hao ndio washauri wake tena wa karibu!Alipata IV ya 29
Mkuu kwani hukusikia historia yake ya school?Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Hata Tabora school mwaka huu hakuna 1 😆😆😆Dah!!! Pamoja na standard kushuka bado kuna shule hazitoi Div 1?
Tabora School huwa haikosi 1 kwa zaidi ya miaka 40 sasa. Kama mwaka huu hawakupata 1 basi ni njama fulani zimefanyikaHata Tabora school mwaka huu hakuna 1 😆😆😆
Hapana mzee; umenidanganya. Nimepekua Tabora school na kukuta hiviHata Tabora school mwaka huu hakuna 1 😆😆😆
Kwenye kupika data yule Mwovu alikua balaa...anaweza ku-fix hilo tatizo lakini sio kufanya kufuru kama alivyokuwa akifanya Magufuli.
..lakini ni aibu kwa shule hiyo kuwa na matokeo mabaya wakati Samia amekuwa kwenye uongozi muda mrefu.
..hapo ndipo utakapojua kwamba viongozi wetu hawana uchungu na wananchi wao.
Duh, tangu enzi zenu mpaka leo shule inatisha.
Nilikuwa wa kwanza kupata 1 pale TS na kuvunja mwiko wa kutawaliwa na Kibaha. Tangu nipate 1 ya kwanza TS hakuna mwaka ambao TS imewahi kutoka bila kuwa na 1 tena.Duh, tangu enzi zenu mpaka leo shule inatisha.
Nafahamu mkuu. Na moto ule ulipanda nao hadi mlimani.Nilikuwa wa kwanza kupata 1 pale TS na kuvunja mwiko wa kutawaliwa na Kibaha. Tangu nipate 1 ya kwanza TS hakuna mwaka ambao TS imewahi kutoka bila kuwa na 1 tena.
Vipi tulikuwa pamoja kwenye safari ila tunatumia majina tofauti hapa JF?Nafahamu mkuu. Na moto ule ulipanda nao hadi mlimani.
Hofu za kijinga kama hizi ccm watatawala milele.hii issue ya kuhoji elimu za viongoz ilishagharimu maisha ya watu, cha muhimu ana PHD hayo mengine mezea
Hapana mkuu, hatukuwa pamoja. Japo mimi nakufahamu vyema.Vipi tulikuwa pamoja kwenye safari ila tunatumia majina tofauti hapa JF?
Basi unatishaHapana mkuu, hatukuwa pamoja. Japo mimi nakufahamu vyema.
Tabora boys ni shule ya vipaji maalumu leadership school ukiingia Tabora boys sio lelemama shule zote vipaji maalumu waweza enda ila kwenda Tabora boys unatakiwa kuwa na akili hasa sio utani sababu ni leadership schoolTabora School huwa haikosi 1 kwa zaidi ya miaka 40 sasa. Kama mwaka huu hawakupata 1 basi ni njama fulani zimefanyika
Tabora School, Shule ya Mapinduzi.Tabora boys ni shule ya vipaji maalumu leadership school ukiingia Tabora boys sio lelemama shule zote vipaji maalumu waweza enda ila kwenda Tabora boys unatakiwa kuwa na akili hasa sio utani sababu ni leadership school