Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Matokeo ya Kizimkazi secondary division 3 zipo 5 four 26, ni nyumbani kwa Rais Samia na alisoma hapo

Haijalishi alipata ngapi au alipata nini, ila saa hii ndio kiongozi wenu nyote nyiee, mnaompenda na msiompenda

Na kama akiamua mlale saa kumi jioni basi nyote mtatii

Sema Mama ni mwema sana, yaani natamani aje kama yuleee baada yake ili awanyooshe nyie vidomo domo

%%$#&@*666😇😂🤣&$%$hnz
 
Haya mambo tunayaanzaga wenyewe, halafu wahusika ‘wakifix’ tuanze kulalamika kama enzi zile Chato kuwa kinara.
Shuke za ukanda uke hata sasa zimefanya vizuri.Kunamtt wa mdogo wangu kapiga 12.points pale Nyamirembe sec sechool
 
Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .


Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda

Happy birthday mama


USSRView attachment 2886197

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
😆😆😆
 
..anaweza ku-fix hilo tatizo lakini sio kufanya kufuru kama alivyokuwa akifanya Magufuli.

..lakini ni aibu kwa shule hiyo kuwa na matokeo mabaya wakati Samia amekuwa kwenye uongozi muda mrefu.

..hapo ndipo utakapojua kwamba viongozi wetu hawana uchungu na wananchi wao.
Kwani Magufi alifanya kufuru gani? Ni shule gani haikustahili kufaulu? Kwani ufaulu kipindi kile waliongoza chato au kanda ya ziwa? Sasa hivi si hawatangaziji tuna hakika gani hawaongozi au wanakuwa wa mwisho!

Mimi najua kuwa kwenye matokeo vinara lazima wawe mikoa ya
Kanda ya nyanda za juuu,ya ziwa na kaskazini ..hiyo ni must
 
Tuombe uzima, mpaka 2027 Zanzibar itakuwa na shule 5 kati ya shule kumi bora Tanzania yote.
 
Kwani Magufi alifanya kufuru gani? Ni shule gani haikustahili kufaulu? Kwani ufaulu kipindi kile waliongoza chato au kanda ya ziwa? Sasa hivi si hawatangaziji tuna hakika gani hawaongozi au wanakuwa wa mwisho!

Mimi najua kuwa kwenye matokeo vinara lazima wawe mikoa ya
Kanda ya nyanda za juuu,ya ziwa na kaskazini ..hiyo ni must

..Magufuli alitaka kujenga Chuo Kikuu Chato.😳
 
Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .


Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda

Happy birthday mama


USSRView attachment 2886197

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Ukweli usemwe zanzibar mwaka huu wamejitahidi sana kuna shule zina matokeo mazuri hadi unaweza kudhani wamewapendelea! Kwenye swala la kusoma Wazanzibar si kipaumbele kabisa..labda uvuvi…

Nina kuhakikishia kabla Mama hajamaliza kipindi chake Zanzibar itakuwa na baraza lake la mtihani ..maana wameweka mzanzibari pale NECTA lakini mambo ni magumu sana!
 
Kwa hiyo akili ya Mama ushungi inaakisi shule aliyosoma .
Hii nchi Kwa saša inaongozwa na mtu wa kiwango hicho cha elimu
 
Matokeo haya ni kwa sababu ya kulazimisha wanafunzi wote wasome hadi kidato cha 4 bila kujali uwezo. Hata bara asilimia kubwa ya shule za serikali matokeo yanafanana na ya Kizimkazi.

Ukiangalia Lumumba na Fidel Castro utaona matokeo mazuri. Shule hizi wana mchujo kama wafanyavyo akina Feza, Marian na kadhalika.
Hata shule za serikali wanachuja darasa la nne na form two.
Kufaulu ni division 1 hadi 4 .Walofeli ni wale waliopata division ZERO.
 
Ukweli usemwe zanzibar mwaka huu wamejitahidi sana kuna shule zina matokeo mazuri hadi unaweza kudhani wamewapendelea! Kwenye swala la kusoma Wazanzibar si kipaumbele kabisa..labda uvuvi…

Nina kuhakikishia kabla Mama hajamaliza kipindi chake Zanzibar itakuwa na baraza lake la mtihani ..maana wameweka mzanzibari pale NECTA lakini mambo ni magumu sana!
Hakika sana

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom