Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo angekua ZO na siyo TO!!Kwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
Kusema kweli ndo povu?!!!!Mbona povu jingi mtu kataja matokeo take tu
Wamejitahidi hawana zero mwaka huu🤣Rais samia anapokea salamu za pongezi kutoka Zanzibar kwa shule aliyosomea kufanya vema ila kwa bara anaonekana hakuna kitu ila nakuhakikishia kwa Zanzibar haya ni matokeo mazuri sana ,usicheke .
Ndio Shule aliyosomea kama alivyosema mbele ya Peter Greenberg kwenye the royal tour na anafurahia matokeo haya ,labda
Happy birthday mama
USSRView attachment 2886197
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Omba dua michezo isije ika ingizwa siasa hapo itakuwa km wa kenya leo kila jambo linaingzwa siasa micho ndio basi inowaunganisha wa tz ajabu leo mpaka madhehebu ya dini tumeingiza siasaUko sahihi kabisa, sisi ndio huanza kuweka siasa kwenye elimu na wanasiasa humalizia kwa kuitumia elimu kufanya siasa.
Unashangaa matokeo yajayo shule za Kizimkazi ndio zinakimbiza Tanzania.
we jamaa nimecheka sana baada ya kukumbuka matokeo ya mtajwa hapo yalitembea sana mtandaoniKwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
Nchi ina watu waajabu sana hii nani alokwambia akili kuwa na div 1 kwa elimu ya kukaririHalafu tunastaajabu aina ya uongozi wake.
Chimbuko lake ni Div 4.
Huo ndio ukweli ukiangalia elimu yenyew ya kukarir jibu la usahii uliza wafanya kazi wazoefu wanopokea hao walopota div 1 utendaji wao wakazi unakuaje yani hao watu wanakua wabovu sn kiutendajiAliyepata iv 29 ana mtiririko wa maisha unaoeleweka tangu mwanzo hadi sasa huku nyie mliopata I.7 mpo humu mnapiga umbea tu na majungu huku mioyo ikiwa imetawal8wa na chuki balaa. Kimsingi kufaulu na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
Omba dua michezo isije ika ingizwa siasa hapo itakuwa km wa kenya leo kila jambo linaingzwa siasa micho ndio basi inowaunganisha wa tz ajabu leo mpaka madhehebu ya dini tumeingiza siasa
Kwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
In short tunaongozwa na Rais kilazabas samii atakua alipata 4 ndo mana kaunga unga sana ata mikataba hakuielew ya DP
Nainusa 0 au IV kwa mbali toka huku Ngerengere.View attachment 2886244
Msikie hapo utajua na yeye alipata ngapi hiyo 1978.
Kumbe kwako wewe, sasa unashupaza fuvu la nini kutaka kila mtu afikirie kama wew?Kwangu mm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Zenji unawezakuta hii shule ni ya kwanza Kimkoa, Ole Sendeka angesoma Zenji angekuwa TO
Mkuu Gagnija Kataryo hiyo ulikaa ni ya kule Mara.?Nilikuwa moja ya shule za hapo mjini Tabora nikiwa mbele yako mwaka mmoja.
Yes, Mara.Mkuu Gagnija Kataryo hiyo ulikaa ni ya kule Mara.?