Matokeo ya Kuifungua Nchi na Diplomasia ya Uchumi: Uingereza yafuata China kuruhusu bidhaa za Tanzania kwenye soko lake

Matokeo ya Kuifungua Nchi na Diplomasia ya Uchumi: Uingereza yafuata China kuruhusu bidhaa za Tanzania kwenye soko lake

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Nawasalimu kwa jina la JMT, na ni matumaini yangu Kazi inaendelea.

Mwezi uliopita China ilitoa certificate of clearance kwa makampuni zaidi ya 300 ya Tanzania kuingiza na kuuza bidhaa mbalimbali Nchini mwao bila kikwazo na ushuru wowote.

Uingereza nayo imeungana na China kwa kuruhusu asilimia 99% ya bidhaa kutoka Tanzania ndani ya soko lao bila vikwazo Wala ushuru wowote.

Hii ndio maana na matokeo ya ziara za Mh. Rais Kuifungua nchi Kwa Diplomasia ya Uchumi.

Ikumbukwe Soko la nyama la Saudia tayari, Soko la Oman tayari, Soko la America tayari na maeneo mengine..

Hizi ni fursa mbalimbali mh.Rais anawatengenezea Vijana na Jumuiya ya Wafanyabiashara waweze kujiajiri.Msije kuanza tena kuleta visingizio visivyo na maana.

Mnaweza linganisha aliyesema hasafiri anenda Kijijini kusalimia bibi zake na anayesafiri anawafungulia Dunia nani kwenu mnaemtaka? Jibu analo kila mmja.

Kazi iendelee 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-170328.png
    Screenshot_20220817-170328.png
    52.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220824-141856.png
    Screenshot_20220824-141856.png
    98.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220824-141704.png
    Screenshot_20220824-141704.png
    165.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220824-142159.png
    Screenshot_20220824-142159.png
    78.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220823-174831.png
    Screenshot_20220823-174831.png
    105.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20220823-174852.png
    Screenshot_20220823-174852.png
    48.7 KB · Views: 2
Hapo kilichobaki ni kaluhakikisha unakuwepo ubora wa bidhaa zitakazopelekwa huko nje, vinginevyo tukifurahia waingereza kutufungulia nchi watakuja kutukwamisha kwenye ubora wa bidhaa zetu, lazima tutoe bidhaa za kushindana na ubora wa bidhaa nyingine toka sehemu za dunia, sisi sio kisiwa cha kupendelewa.
 
Nini maana ya diplomasia ya uchumi? Be careful unapotoa statement passipo kujiridhisha dhana ya unachokielezea.

Kjfungua mipaka?
 
Nini maana ya diplomasia ya uchumi? Be careful unapotoa statement passipo kujiridhisha dhana ya unachokielezea.

Kjfungua mipaka?...
Haters Huwa hamkosekani 😬😬.

Nakuonyesha na Kazi nyingine ya Mama 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-212320.png
    Screenshot_20220817-212320.png
    121.5 KB · Views: 5
Haters wa nini yaani ukiwa challenged unaita watu haters.
 
Chief bilateral agreement sio sawa na kwenda dukanj kununua mchele. Lazima kuwe na due diligent ya kutosha kufanya cost benefit analysis, kuasses risks involved and how to takle them mwisho ndio mmakubaliana timeframe au implememtation framework. Sasa kama unafikiri mtu akienda Ethiopia wakatangaza jambo fulani sio kwamba ndio limeisha. Maana thourough due diligent ndio inaanza na imaweza isifanikiwe na haitasemwa so usikimbilie conclusion
 
Tunaposema mama yetu mh mama Samia suluhu Hassani Amedhamilia kuijenga nchi hii ndio watu waelewe Sasa, tunaposema mh Rais Ni zawadi kwetu ndio watu waelewe vizuri, Tunaposema mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao ndio waelewe Sasa, maana kwa Sasa Tanzania chini ya uongozi shupavu wa mh mama Samia suluhu Hassani inazidi kupata fursa mbalimbali za kiuchumi kutokanaa na kuimarisha mahusiano ya kimataifa, Tanzania Sasa inaaminika Sana kwa wawekezaji na jumuiya za kimataifa
 
Chief bilateral agreement sio sawa na kwenda dukanj kununua mchele. Lazima kuwe na due diligent ya kutosha kufanya cost benefit analysis, kuasses risks involved and how to takle them mwisho ndio mmakubaliana timeframe au implememtation framework. Sasa kama unafikiri mtu akienda Ethiopia wakatangaza jambo fulani sio kwamba ndio limeisha. Maana thourough due diligent ndio inaanza na imaweza isifanikiwe na haitasemwa so usikimbilie conclusion
Wewe unabwabwaja wenzio wanaonyesha matokea Chanya 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220817-212437.png
    Screenshot_20220817-212437.png
    91.8 KB · Views: 4
Tunaposema mama yetu mh mama Samia suluhu Hassani Amedhamilia kuijenga nchi hii ndio watu waelewe Sasa, tunaposema mh Rais Ni zawadi kwetu ndio watu waelewe vizuri, Tunaposema mh Rais anakwenda kuzoa kura Zote uchaguzi ujao ndio waelewe Sasa, maana kwa Sasa Tanzania chini ya uongozi shupavu wa mh mama Samia suluhu Hassani inazidi kupata fursa mbalimbali za kiuchumi kutokanaa na kuimarisha mahusiano ya kimataifa, Tanzania Sasa inaaminika Sana kwa wawekezaji na jumuiya za kimataifa
Hivi mim sielewi unaenda kuuza nini china kwa mfano bidhaa gani hasa
 
Back
Top Bottom