Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Brainy Governments huwa zinaprotect kwa nguvu zote zile fursa indigenous wanazoweza kumudu .we expect serikali ivutie high tech investments huku ikiwawezesha watu wake kukamata fursa .najua hapa utakuja na nyarubanja ya wizara ,so kilimo wanachoanzisha ni mbaazi na mahindi ?Kwa nini zikwapuliwe? Muwekezaji anakwapua kuzipeleka Saudia au?..
Ukisikia Mwekezaji unajua anawekeza angani au?