Mwakalinga angelishinda bana, ila sema tu Kanda2 alimuahidi LAPUTOPU, na yeye akawaahidi Wanakyela. Sasa mwisho muda umefika, Kanda2 kapotea na Wanakyela wanadai LAPUTOPU, Mwakalinga hana. Kanda2 ndiyo kamponza Mwakalinga. Mtu Mzuri sana wa Mwakyembe huyu.
whatever happened:
Karamagi atarudi kugombea:
Kamala atarudi kugombea:
Chiligati atarudi kugombea:
Kapigwa chni
Hiloooooo linaona haya hilooooo
Wewe unayejifanya Sikonge ndiye huyo huyo Afande Sele matusi kwenu ni kama chai sikushangai.
Mwakalinga asimlaumu mtu mchawi wake ni nyie ndugu zake mmemwangusha hamjui siasa zinavyoendeshwa badala ya kujikita jimboni mkabaki kutukana watu na kuwatungia CV za uongo.
Nilimwambia kaka yenu atausikia ubunge kwenye redio kipindi cha bungeni leo mwambieni arudi kubeba mabox sijui aliomba likizo au alitoroka alikwina.
Huko Mkoani Kagera kuna Taarifa kuwa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Nkenge Nazir Karamagi ameshindwa katika uchaguzi wa mwanzo wa kumtafuta Mgombea wa CCM wa Jimbo hilo,pia Waziri anayeshughulikia Masuala ya Afrika Mashariki Dr. Deodorus Kamala amepoteza kiti chake, Mama Asumptha Mshama ameshinda kwenye Jimbo hilo la Misenyi.Huko Iringa Mjini aliyekuwa Katibu Mkuu wa TFF Bwana Fredrick Mwakalebela amemshinda aliyekuwa Mbunge Mama Monica Mbega.
Katika Kinyang'anyiro cha mwaka huu ni Wabunge Wanne tu ambao wamepita bila kuwa na Wapinzani,Wabunge hao wa CCM ni Mizengo Pinda,Benard Membe,Aggrey Mwanri na Ezekiel Maige.
mwakalinga je? Kwishnei au?
Mkapa ni chanzo cha matatizo ya mfumo wa sasa, ni mtu pekee aliyejua wazi kuwa ni wapi Tanzania inaelekea lakini alituzira watanzania na kutuacha tuvae mkenge. He knew from the start that JK was not the right choice for Tanzania, he knew all the way that JK alipelekwa mbele ya watanzania na watu ambao hawakluweza kujitokeza wao wenyewe kwa wakati ule kugombea urais, and he knew that will be remotely controlled by mtandao, lakini aliamua kutuzira watanzania. Na excuse yake ni kuwa hataki na hawezi siasa za kiswahili na kihuni. Hata alipokuwa anampigia JK kampeni you could see from his eyes that he knew where we were heading to. it is being said Chagua lake lilikuwa ni mmoja wa watu wake mahiri kwenye mambo ya uchumi, na yeye alifayiwa zengewe zito pale Dodoma karibu azimie.
Washindi katika baadhi ya majimbo
Mwakyembe (Kyela),Makongoro Mahanga (Ukonga?),Mary Nagu(Hanang?),Ole Medeye (Arumeru),Masha (Nyamagana),January Makamba (Bumbuli),Anthony Diallo (Mwanza?),Mathayo (Musoma),Ole Sendeka (Simanjiro),Richard Kasesera (Rungwe Mashariki),Hussein Bashe (Nzega),Ntukamazina (Ngara),Dr.Batilda (Arusha Mjini),Kimaro (Vunjo),Prof.Mwandosya (Rungwe Magh),Anne Kilango (Same),Nape Nnauye (Ubungo).
Wabunge Maarufu waliokwishapoteza ni Malecela (Mtera),Prof.Mwakyusa (Rungwe Mashariki),Lembeli,Mama Mwangunga na Selelii.
naam waungwana, matokeo rasmi ya jimbo la nzega kwa wagombea wawili waliokuwa wakichuana sana ni kaam nilivyoandika hapo juu, japo najua kwa kufanya hivi nitaporomoshewa matusi ya kumwaga ila ukweli ndio huo nami binafsi nimeongoza kwa kishindo kura za maoni nafasi ya udiwani