Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 220
Mwakalinga angelishinda bana, ila sema tu Kanda2 alimuahidi LAPUTOPU, na yeye akawaahidi Wanakyela. Sasa mwisho muda umefika, Kanda2 kapotea na Wanakyela wanadai LAPUTOPU, Mwakalinga hana. Kanda2 ndiyo kamponza Mwakalinga. Mtu Mzuri sana wa Mwakyembe huyu.
kanda2 itabidi aseme kwa nini akupeleka laputopu, hizi ni hujuma dhidi ya mwakalinga