Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heeee heeee heeh! Sidhani kama wana nia ya kumvote out! Hali hii inaonyesha kuanza kuamini kuwa hapakuwepo na mpango wa kuwaibia kura zao, kama ilivyokuwa ikitangazwa na wanasiasa wao.
'O' issue sio Seif kumtambua Karume, alichofanya Seif ni kumtangaza tuu kumtambua Karume, the really issue ni Seif amezungumza nini Karume?. Kumtangaza ni outcome, what was the motive behind?. Hiki ndicho kinachowaduwaza na fundamentalist wa CUF, lazima aje to the open aseme deal ni nini otherwise moto utamuwakia.Sioni impact yoyote ya kumtambua Rais ikiwa imebaki mwaka mmoja uchaguzi kufanyika. Karume hawi Rais kwasababu CUF imesema inamtambua. Karume alikuwa Rais pale tume ya uchaguzi ilipomtangaza kama mshindi wa uraisi huko Zanzibar. Sasa Maalim kusema leo anamtambua naona kama ni kichekesho na wastage of time. Angeendelea na msimamo wake tu wa miaka yote minne.
Hakuna mapya kati ya hao yanayo tendeka hivi sasa tumeshaona mengi kabla Dr Amani kuwa Rais ,Dr salim Amour( kamando)wakati ule wa muafaka akasema mengi pale ikulu huku akijifuta jasho kwa kihangachifu chake kumaliza tu zile hutuba yule Aduwi wa Mmungu Abdala Rashid akaendelea kuwabomolea watu majumba ,kufukuzw makazini huku akiwadhibu leo sijuwi hata anaishi masha gani,Mmungu anatwambia hatoikataa Dua ya Mwenye kudhulumiwa ,ijapokuwa sisi binadamu tunaharaka hutaka mambo yatokee hapo kwa papo, sasa na haya ya Amani ni sawa na kujambia majini ,masikini Maali seif ameizidi kugeuzwa KARAGOSI ,au naweza kusema amegeuzwa Gari la Ngombe sukani puwa,nafikiri amesahau kauli kubwa za watu wawili wenye Nguvu ndani ya chama na serekali waliosema kuwa Mungu akitaka asitake CCM maisha na yule mmoja aliyesema kuwa Hata Mmungu hana Uwezo wakuijenga Zanzibar kwa siku mia.
Tujipange kupinga kutawaliwa na mafisadi na walevi wa CCM hapo hapo na Katibu wako anakutana na hao mafisadi..mbona unachanganya wananchi..we need more explanation??
Uko very postimistic na hiyo move..lakini CCM hawatafanya uchaguzi usio na vurumai kama matokeo yanaoonyesha kuwa wao wanaweza ko-lose! lazima walete askari wauua wachukue nchi ..that much we need for decades...Tulichoweka mbele hapa ni maslahi ya wananchi wa Zanzibar kwanza...Uchaguzi wa vurumai hautatupeleka popote zaidi ya kuwaumiza wananchi wetu wasio na hatia...Angalau najua mimi siwezi kushambuliwa, lakini mwananchi wakawaida atapambanishwa na dola bila hata kufanya hatia, na ataishia kukimbia makazi yake!
Tukishaweka sawa hili, ndipo dhana ya kupinga kutawaliwa na Mafisadi inaanza kufanyiwa kazi...Sijui kama umenielewa...Ahsante.
Lengo letu ni kuhakikisha amani inakuwepo Zanzibar bila kujali chama gani tumeshirikiana nacho, .
MMhm... Ananikumbusha ziara ya Mh. Rais JK kule PBA... na walevi wa CCM, alisema.