Matokeo ya Maalim Seif Kumtambua Karume

Matokeo ya Maalim Seif Kumtambua Karume

Move ni nzuri ya kuleta amani ya kweli na ya kujivunia! CUF wakiachana na lugha ya "ngangari", "jino kwa jino", "damu itamwagika CUF ikishindwa", nk angalau kitapata kiti kimoja cha ubunge Bara na angalau Marekani na nchi za Magharibi wataacha kusema "uchaguzi ulikuwa huru na haki" baada ya kupewa somo na CCM kwamba CUF ni chama cha kigaidi!
Hatuhitaji mandate ya wamerakani kutawala Tanzania..huo ni utumwa wako mwenyewe ..programmed mind lazima amerika ikubali au iseme, wananchi wa Tanzania ndio asset..america has nothing to do with Tanzania..kama wananchi wataamua..CCM watadanganya mwishowe watashtukiwa tu kwamba ni waongo..
 
Buchanan,
ww U-CCM, unakereketwa nao hasa...somo gani wametowa kwa CUF mafisadi hawa...si wangejipa somo wao wenyewe kwanza kwa kuacha kuwaibia watanzania wanyonge na masikini....kuhusu maelewano hayo, the move was initiated by the Zanzibaris themselves.

Junius, huo mwafaka III kati ya Karume na Seif (na sio Wazenj wote kama unavyodai) umekusahaulisha kuwa CUF imetuhumiwa mara kwa mara kwa Ugaidi na hata nchi za Magharibi hazina appetite kabisa na CUF and whatever happens Wa-Magharibi watasema "Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?" Toa kichwa chako kwenye mchanga wa u-CUF, usikifiche kama mbuni na kuona ukweli! Na kama unabisha CUF endeleeni na lugha za "ngangari", "damu itamwagika CUF ikishindwa", "jino kwa jino", "moto utawaka", nk kama mtaendelea kuwa "Chama KIKUU cha Upinzani!"
 
Hatuhitaji mandate ya wamerakani kutawala Tanzania..huo ni utumwa wako mwenyewe ..programmed mind lazima amerika ikubali au iseme, wananchi wa Tanzania ndio asset..america has nothing to do with Tanzania..kama wananchi wataamua..CCM watadanganya mwishowe watashtukiwa tu kwamba ni waongo..

Mmm...h, Tumain uko dunia hii au ulihama kidogo mwenzetu? Umesahau akina Sharrif Hamad walivyokuwa wakihamasisha wahisani ili wainyime misaada Zanzibar kwa ajili ya mambo haya ya uchaguzi? Tukijikomboa na kujitegemea kiuchumi ndipo tutakapokuwa na jeuri, otherwise tutakuwa kama Zimbabwe, inflation 1,000,000%!
 
Naipenda CUF ,ila tatizo ni viongozi wangu wakuu kila siku siasa wanafanya upande mmoja tuu wa Nchi.
 
Junius, huo mwafaka III kati ya Karume na Seif (na sio Wazenj wote kama unavyodai) umekusahaulisha kuwa CUF imetuhumiwa mara kwa mara kwa Ugaidi na hata nchi za Magharibi hazina appetite kabisa na CUF and whatever happens Wa-Magharibi watasema "Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?" Toa kichwa chako kwenye mchanga wa u-CUF, usikifiche kama mbuni na kuona ukweli! Na kama unabisha CUF endeleeni na lugha za "ngangari", "damu itamwagika CUF ikishindwa", "jino kwa jino", "moto utawaka", nk kama mtaendelea kuwa "Chama KIKUU cha Upinzani!"
well said, muafaka III ni wa seif na karume si wanzanzibar
On other hand sikubaliana na wewe kwamba tunawahitaji Amerika kutuchagulia who to rule us..NO hapo tuna differ..kuhusu ungangari ndio lugha pekee ambayo CCm wanasikia lugha zingine "Hawasikii wala hawataacha tabia zao chafu" I am of 100% jino kwa jino call spade a spade brother unaogopa nini hasa ..
 
well said, muafaka III ni wa seif na karume si wanzanzibar
On other hand sikubaliana na wewe kwamba tunawahitaji Amerika kutuchagulia who to rule us..NO hapo tuna differ..kuhusu ungangari ndio lugha pekee ambayo CCm wanasikia lugha zingine "Hawasikii wala hawataacha tabia zao chafu" I am of 100% jino kwa jino call spade a spade brother unaogopa nini hasa ..

Ni kweli kuchaguliwa Rais na Marekani ni vibaya lakini hali halisi inatulazimisha kufuata wishes za wakubwa! Kumbuka Nyerere alijifanya ngangari tuliishia kupanga foleni ili kununua sukari, sabuni, nk! Gadaffi alijifanya ngangari kwa muda mrefu lakini sasa hivi amekuwa "mtoto mzuri" wa Uingereza na Marekani! Ahmedinejad wa Iran anajifanya ngangari lakini asipoangalia atamfuata Sadam Husein mavumbini! It is just a matter of time! Usijifanye ngangari wakati bado unatambaa, wenzako wanakimbia, subiri ukianza kukimbia kwanza!
 
Ni kweli kuchaguliwa Rais na Marekani ni vibaya lakini hali halisi inatulazimisha kufuata wishes za wakubwa! Kumbuka Nyerere alijifanya ngangari tuliishia kupanga foleni ili kununua sukari, sabuni, nk! Gadaffi alijifanya ngangari kwa muda mrefu lakini sasa hivi amekuwa "mtoto mzuri" wa Uingereza na Marekani! Ahmedinejad wa Iran anajifanya ngangari lakini asipoangalia atamfuata Sadam Husein mavumbini! It is just a matter of time! Usijifanye ngangari wakati bado unatambaa, wenzako wanakimbia, subiri ukianza kukimbia kwanza!
Duh! umekubali kuinama kabisaa ..That is last thing a man can do! unajua hata huyu JK ni darling wa wakubwa ndugu ndio maana anatusumbua hapa..Mkapa the same..lol..watanazania wanatakiwa kuwa ngangari kujitawala of course there is a prece we have to pay..sasa kuliko kusubiri watoto wetu walipe ..
 
Duh! umekubali kuinama kabisaa ..That is last thing a man can do! unajua hata huyu JK ni darling wa wakubwa ndugu ndio maana anatusumbua hapa..Mkapa the same..lol..watanazania wanatakiwa kuwa ngangari kujitawala of course there is a prece we have to pay..sasa kuliko kusubiri watoto wetu walipe ..

well said wote wawe ngangari na hivyo wote wawe chama cha watu ngangari nacho ni......
 
well said wote wawe ngangari na hivyo wote wawe chama cha watu ngangari nacho ni......
CUF is no No longer ngangari..the fact that katibu mkuu ameshaingia mkenge na CCM you are done!
 
CUF is no No longer ngangari..the fact that katibu mkuu ameshaingia mkenge na CCM you are done!

Ukitaka kuujua ungangari wetu weka jina lako halisi halafu tutukane utajua kama bado ni ngangari ama nini.
 
Duh! umekubali kuinama kabisaa ..That is last thing a man can do! unajua hata huyu JK ni darling wa wakubwa ndugu ndio maana anatusumbua hapa..Mkapa the same..lol..watanazania wanatakiwa kuwa ngangari kujitawala of course there is a prece we have to pay..sasa kuliko kusubiri watoto wetu walipe ..

Tumain hata wewe ukiingia Ikulu utafanya hivyo hivyo amini usiamini! Wananchi don't care about how you do it, but results! Ok, tuseme nchi imewekewa ngumu na akina Obama, inflation 50,000%, hali inatisha ya kiuchumi, hao Wananchi watakushangilia kwa kuonyesha ungangari wako huku maji yamezidi unga?
 
Ukitaka kuujua ungangari wetu weka jina lako halisi halafu tutukane utajua kama bado ni ngangari ama nini.
matisho na ujinga huo..lol jina langu kamili Tumain naishi Kinondoni CUF is no longer ngangari you are done lol..
 
Za kichina tumeshazistukia .

Kama ni CUF hii ninayoifahamu na Prof Lipumba ni yule yule ambaye alidai kuwa CCM walitumia teknolojia ya Kichina kwenye karatasi za kupigia kura ili kuiba kura unaota ndoto za mchana! He has lost great opportunities in the past, too late to catch a train!
 
Junius, huo mwafaka III kati ya Karume na Seif (na sio Wazenj wote kama unavyodai) umekusahaulisha kuwa CUF imetuhumiwa mara kwa mara kwa Ugaidi na hata nchi za Magharibi hazina appetite kabisa na CUF and whatever happens Wa-Magharibi watasema "Uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?" Toa kichwa chako kwenye mchanga wa u-CUF, usikifiche kama mbuni na kuona ukweli! Na kama unabisha CUF endeleeni na lugha za "ngangari", "damu itamwagika CUF ikishindwa", "jino kwa jino", "moto utawaka", nk kama mtaendelea kuwa "Chama KIKUU cha Upinzani!"
Kwanza huu si mwafaka wa tatu,haya ni makubaliano ambayo,kama ummsoma Mkurugenzi wa Mambo ya Kimataifa wa CUF,Ismail Jussa kuwa, approach yake ni tofauti na Mwafaka. Nasisitiza kuwa ni makubaliano ya Wazanzibari wenyewe kwa mantiki ya kuwa hakukuwa na external broker wa makubaliano hayo bali initiator ni ikulu ya Zanzibar na chama cha wanachi CUF,through special advisers,ambao ni Wazanzibari.Kadhalika makubaliano hayo maalum ku-focus maslahi ya Zanzibar na Wazanzibari,haina maana kuwa ndo upinzani utakuwa umekwisha,labda kwa hili nikupe mfano wa yaliyokuwa yakiendelea Baraza la wawakilishi na mfano wa hayo.Na imesemwa kuwa habari za vyama zinawekwa pembeni kwanza,Uzanzibari mwanzo, labda ungekuwa na subra kidogo hapo mbeleni utaona...nakwambia hivi nikiwa na hakika na kinachoendelea wasioamini wana hofia matumbo yao. Mkuu,habari za Umagharibi naona zimekufumba macho, ni baada ya makubaliano hayo tu serikali ya Obama kupitia ubalozi wake DSM,umetowa pongezi kwa hatua hiyo kubwa kadhalika na nchi za jumuya ya ulaya zinatarajiwa kutoa tamko lao kwa pamoja hivi kiribuni...saa madai yako yenye zidi ya CUF ambayo umeficha ulichokusudia,siyaoni kuwa yana msingi wowote, Mkuu mimi sijifichi...am in opposition side...
CUF is no No longer ngangari..the fact that katibu mkuu ameshaingia mkenge na CCM you are done!
Katika siasa kila nafasi ya kupiga hatua katika mabadiliko inapewa nafasi,au ulifikiri kuwa Nelson Mandela kukataa kuachiwa na makaburi kwa sharti la kutojihusisha na siasa au kuishi uhamishoni,ilimaanisha kuwa Mandela hakutaka kutoka jela?
Lakini ilikuwa ni hatua moja mbele ya kufungua majadiliano wazi ya yeye kuachiwa huru bila ya masharti,na matokeo tumeyaona...CUF is still ngangari na ninacho kuhakikishia kuwa kwa nguvu iliyokuwa nayo Zanzibar na si muda mrefu kuingia ikulu, huku Zanzibar mtoto wa darasa la awali tu tayari anajuwa CUF ndo chama cha wazanzibari....asili haifutiki.
 
Lipumba said:
Lengo letu ni kuhakikisha amani inakuwepo Zanzibar bila kujali chama gani tumeshirikiana nacho

Udumu Ushirika kati ya CUF na CCM

Lipumba said:
Ndugu zangu wa CUF, tuache kulumbana kuhusiana na uamuzi wa Maalim Seif kukutana na Karume,
Lipumba said:
tujipange kupinga kutawaliwa na mafisadi na walevi wa CCM

Udumu utawala wa mafisadi na walevi na zidumu fikra za mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba !
 
Back
Top Bottom