Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Analyse

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
17,637
Reaction score
47,413
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.

Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?

Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?

Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.

Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).

So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.

Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.

Anyway, kuna 3 questions ninazo:

1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?

2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?

3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?
 
🙄🙄🙄😒😒😏😶😶😑😑😐😐🤨🤨🤐🤐
 
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.

Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points...
Bora ya hata TAKUKURU (PCCB)

Uhamiaji ni uharo mtupu, upendeleo mkubwa umefanyika, kuanzia kwenye kuita watu kwa ajili ya usaili mpaka kuitwa kwenda kambini Tanga
 
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.

Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points...
Mkuu point kabisa, hawa jamaa walikuwa na majina yao ya mchongo, taasisi nyeti kama hii inakosa umakini wa hali ya juu hadi majina kujirudia rudia tena sio jina moja, alaf ukizingatia hata hao walioitwa wengine just kujazia tu waonekane wameita ita angalau wengi,

lakini nakuhakikishieni wana watu wao special walio waandaa mda utaongea....Mie sina imani kabisa kazi zote za serikali zimekalia kimchongo mchongo alaf mtu anakwambia haki sawa na uadilifu hakuna lolote ungese mtupu mamaee..
 
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.

Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off point...
Tuwe tu wakweli, hata ingekua wewe uko pale takukuru ungeweza mpa mtu mwingine nafasi wakati mdogo wako hana kazi?

Hata hivyo kama huyo mtu ana milion 4 aitumie kufanya mishe nyingine.

Dunia haiko fair.
 
Naomba nitoe maoni yangu kidogo...
Wakati wa kufanya mitihani yaani amptitide test, ilipangwa ifanyike saa mbili kamili asubuhi.. ila kabla mtihani hujaanza kuna baadhi ya mambo nilinote.

1. Mtihani uliahirishwa mpaka saa nne na nusu.

2. Mitihani ilikuja iko open kabisa.. means kama sio kupitiwa tu. Hali ya venue ilikaa kimchongo sana.

3. Kuna waliokuja saa 4 na nusu na kukusanya karatasi zao as if walijua automatically mitihani itaahirishwa. Walikuwa kama wafanyakazi wa taasisi mbalimbali kwa kuvaa. Mavazi na hata magari.

4. Tuliambiwa tuandike namba. Tulitegemea tupate matokeo namba.

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa.

AIBU KUBWA KWA TAIFA
 
Kitu ambacho si sahihi hata kidogo majina yaliyopatikana kwa mfumo ule yakakubali mpangilio ule wa herufi za majina
Unajua lilepaper lilikuwa simple sana , Ivyo basi watu wengi kwanza wamefaulu na wengine kukongana Mark's,
 
Back
Top Bottom