Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.
Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?
Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?
Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.
Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).
So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.
Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.
Anyway, kuna 3 questions ninazo:
1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?
2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?
3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?
Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?
Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?
Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.
Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).
So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.
Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.
Anyway, kuna 3 questions ninazo:
1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?
2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?
3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?