Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Naomba nitoe maoni yangu kidogo...
Wakati wa kufanya mitihani yaani amptitide test, ilipangwa ifanyike saa mbili kamili asubuhi.. ila kabla mtihani hujaanza kuna baadhi ya mambo nilinote...
Basi Raia wapambane na hii Taasisi kwa kuyatangaza mabaya yao kila kona. Hamduni kuja usemee rushwa kutamalaki idarani kwako
 
Unapata kazi ya kupambana na rushwa kwa kutoa rushwa.

..........Hii nchi ishaoza inatoa wadudu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitu ambacho si sahihi hata kidogo majina yaliyopatikana kwa mfumo ule yakakubali mpangilio ule wa herufi za majina
We acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyume
 
We acha tu hana raha msepa anasema paper simple kwake sana aliona alibaki dom huko tangu huo mwezi wa kwanza ila mambo yamekuwa kinyume
Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURU
 
Naomba nitoe maoni yangu kidogo...
Wakati wa kufanya mitihani yaani amptitide test, ilipangwa ifanyike saa mbili kamili asubuhi.. ila kabla mtihani hujaanza kuna baadhi ya mambo nilinote..
1. Mtihani uliahirishwa mpaka saa nne na nusu
2. Mitihani ilikuja iko open kabisa.. means kama sio kupitiwa tu. Hali ya venue ilikaa kimchongo sana...
Hiyo namba 4 imeshangaza wengi sana.
 
Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURU
Aisee si mchezo, mambo mengine yanakatisha tamaa kweli.
 
Shikamoo Mkurugenzi Mkuu Salum Hamduni

Mimi ni kijana niliyekuwa miongoni mwa vijana tuliofanya Usaili tarehe 8 January, 2022 na majibu yametoka juzi. Ulitokea mkanganyiko ambapo jina langu lilitoka kwenye list ya WACHUNGUZI WACHUNGUZI (waombaji wenye Degree) wakati mimi niliomba nafasi ya WACHUNGUZI WASAIDIZI (maana nina Diploma).

Kutokana na mkanganyiko huo,niliambiwa na Wasimamizi nifanye Mtihani wa Wachunguzi Wasaidizi lakini nikitumia namba ya Mtihani niliyopewa kwenye list ya WACHUNGUZI.

Na kwa kuwa sikuwa peke yangu niliochanganywa nafasi, tuliambiwa na Wasimamizi kwamba Mitihani yetu itawekwa Pending kusubiri maelekezo mengine.

Licha ya kuamini kwamba nilifanya vizuri Mtihani ule, jina langu halijatoka pamoja na majina ya wengine wote tuliokumbwa na kadhia ya kuchanganywa nafasi tulizoomba, hivyo tunaamini mkanganyiko uliojitokeza ndio uliosababisha majina yetu yasitoke.

Kwa HESHIMA NA TAADHIMA, tunakuomba Mkurugenzi Mkuu ufuatilie suala hilo.

Ubarikiwe sana
 
Kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kwenye majina yaliyotolewa na Taasisi unayoiongoza,ni busara ukajiuzulu maana umeshindwa kazi.

Kama huwezi kujiuzulu basi ifurushe Idara nzima ya Utawala maana imeoza. Kwanza, haiwezekani Taasisi muhimu kama TAKUKURU itoe majina yakiwa yamekosewa kwa kujirudiarudia,huo ni uhuni na wizi wa mchana kweupe. Pili, haiwezekani baadhi ya waombaji wa nafasi za Wachunguzi Wasaidizi majina yao ya kuitwa kwenye Usaili yatoke katika category ya Wachunguzi, halafu siku ya Usaili waambiwe wafanye Usaili wa Wachunguzi Wasaidizi wakitumia namba zilezile za Wachunguzi!!na Wasaidizi wako wakawaambia majina yao yatawekwa pending na kweli yamewekwa pending maana hayaonekani kokote, huo ni uhuni mkubwa.

Tatu, haiwezekani muwape watu namba za kufanyia Usaili halafu mrudishe majina tu bila kuonyeshe matokeo, huo ni ujambazi wa mchana kweupe. Nne ambalo ni kubwa zaidi ni kwamba kuna majina ya mnaosema wamefaulu Usaili wa kuandika wakati hata kwenye Usaili wenyewe HAWAKUJA. Huo ni Ujambazi wa Haki dhidi ya watoto wa wanyonge. Nilitegemea TAKUKURU ni Taasisi Smart kwa kuwa ipo kupambana na mambo machafu, lakini kwa uhuni huu wa watu wako wa Utawala naamini hii ni Taasisi takataka tu.

Kulinda HESHIMA yako, ni vema ukajiuzulu. Kama kujiuzulu ni kugumu basi nakushauri pitia Mitihani yote mmoja baada ya mwingine uangalie marks za Watahiniwa na majina ya watu wako wa Utawala wanaosema wamefaulu, utaona uchafu mkubwa uliofanywa na Wasaidizi wako. Wengi waliofaulu wameachwa na wamechukuliwa vilaza wengi kisa walikuwa na connection na watu wako wa Utawala.

Na tafadhali fuatilia na majina ya Watahiniwa ambao majina yao yalichanganywa ambao waliomba nafasi za Wachunguzi Wasaidizi lakini wakaitwa kwenye Category ya Wachunguzi, siku ya Usaili wakaambiwa wafanye Usaili wa Wachunguzi Wasaidizi na majina yao yatawekwa pending na kweli yamewekwa pending!!!Huu ni Uhuni na Ujambazi wa hali ya juu. DG Salum Hamduni wewe ni smart tangu ukiwa RPC Arusha, nakuomba be smart katika uhuni na Ujambazi huu uliofanywa na hao Wasaidizi wako wa Idara ya Utawala.
 
Back
Top Bottom