Haya majina baana Kuna jamaa yangu nimememuona mpaka nimecheka, form four alipata div 4 ya point 32 tulimaliza nae shule 2011, lakini alipita njia za certificate mpaka akawa na degree ya Sheria, Mzumbe Mbeya kwa uwezo wake ule wakuunga unga nahakika kwenye mtihani uliokua umejaa hesabu zaidi ya 50% asingeweza kupita maana hesabu alikua na F , lakini mzee wake alikua RPC Miaka ya nyuma nashangaa kumuona hapo. Poleni ndugu Zangu mliochoma nauli, karibuni kwenye ujasiliamali unalipa sana, kuliko huko TAKUKURU