Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

na huyu hapa
IMG_20220215_130738_456.jpg
 
Tanzania ajira ni vita ! Yaani watu wanachutama na kufanya kila linalowezekana wachomeke matakwa yao. Piga ua garagaza, sio mbaya kama mtu ana sifa but inaaishia kuacha talented people wasio na wakuwashika mkono
 
Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
 
Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
document yao ipo ya written iliyotokaga na oral ipo ni suala la wewe kucheza na Excel tu hapo too simple unapata majibu
 
Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
ingia website ya PCcb udownload Walioitwa Written na Walioitwa Oral utaelewa kitu gan ,namaanisha ,source ni website yao
 
Familia duni hizo mzee, ww na pesa zako utakubali mtoto wako awe TAKUKURU??
Labda wewe mwenzetu utajiri wako kama wakina Mo Dewj ni haki yako kusema hivyo.Huko wanalipa vizuri na ndio maana wanachomeka watoto wao.Na wanajua wakishaingia kwenye system wanaweza kuwaweka sehem nyingine nzuri zaidi
 
Labda wewe mwenzetu utajiri wako kama wakina Mo Dewj ni haki yako kusema hivyo.Huko wanalipa vizuri na ndio maana wanachomeka watoto wao.Na wanajua wakishaingia kwenye system wanaweza kuwaweka sehem nyingine nzuri zaidi
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hujui ulisemalo mzee.
 
Same to me. Kuna ambaye niliwasiliana nae na alinitumia hadi screenshot ya msg za kigogo anaewapigania watoto wawili. Niliumia sana, basi tu ndio vile utafanyaje. Yaani sisi tulienda Dom kufanya Aptitude test halafu wengine wamekaa makwao wanaperuzi kwenye pages za umbea Instagram na mwisho wa siku wana nafasi za kazi tayari.
Pole sana mkuu, tupo wengi tulioguswa na hili
 
Familia duni hizo mzee, ww na pesa zako utakubali mtoto wako awe TAKUKURU??
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo siyo ushahidi tosha. Documents na majina hayana uthibisho kwamba yameandikwa na PCCB, wala hamna ushahidi kwamba hayo majina hayakuwepo kwenye written interviewees' list na hayakutokea kwenye kwenye oral interviewees' list ya PCCB.

Jipange utoe maelezo ya kina kutetea tuhuma zako
Ongea vitu vinavyo eleweka sio unaongea kama unaongelea inudnukm
 
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app

Mshahara wao uko pccb ni tsh ngapi? Naona watu wanapigana vikumbo kupata nafasi huko
 
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Word[emoji1377]
 
Back
Top Bottom